@nerymorc: nilisha weka ela kwenye mahindi wwe hatr sikia kwa wengine #kenyantiktok 🇰🇪 #tiktoktanzania #tiktokburundi #goviralvideo #fyppppppppppppppppppppppp

-♡Nery morc 🦋🦋♡♡
-♡Nery morc 🦋🦋♡♡
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 26 August 2026 18:24:37 GMT
15008
287
124
22

Music

Download

Comments

user8077321735748
Roda twinie :
nakumbuka mahind yang yaliibiwa nilienda kuchezea na wenzangu daah😂😂
2026-08-27 09:55:52
7
my908gmail
🩸🩸[email protected] :
weeee acha kabiaaa🥹 nilipewa lishe nikasage nikala karanga zote afu umeme ukakata 🥲
2026-08-27 10:19:25
6
peninapetro615
Diana @g :
umeme hamna
2026-08-27 15:31:59
1
londongirl_tetere
lONDON GIRL :
Nimekumbuka mbali asee kuna iyo mashine inaitwa kwa vidaki🫡🫡
2026-08-27 09:20:33
3
jaygirl037
🫀pisces girl :
nyie kusaga hapo mm nilisha beba unga wa jiran yetu😂😂😂
2026-08-27 13:31:41
3
neemavicent89
neemavicent89 :
Maisha ya kweri dah
2026-08-27 16:16:52
1
reydank
rey€d :
nakaa naanza kuchambua karangaan nimeambiwa nikasage unga wa mtoto
2026-08-27 13:50:33
2
jacklinemihale
Jackline Mihale :
hahahaha jaman zaman sana
2026-08-27 11:53:57
1
aureliaezekiel190
Aurea :
nilikuwa naludisha mzigo yawa2 nyum nasogeza wakwangu
2026-08-27 13:12:04
1
stanleymyombe
Stanley Myombe :
nakumbuka mwaka 2000 hyo time ilikua kunamashine za mapadri yaaan ukitoka shule saa10 ukienda mashineni kurd saa2 usku aweee mbona ilikua tabusana.
2026-08-27 15:49:06
1
kingneizammanga0
kingneizammanga :
daar😅😅
2026-08-27 14:19:26
0
dorice.mikemo
Dorice Mikemo :
daaah aiseeee
2026-08-27 14:24:06
0
rechochilolo
cheupe :
ahahahahhah me nlikuwa napenda maana nacheza uko weee nasingizia nilikuwa wa mwisho
2026-08-27 14:06:51
1
mery82276
IRENE 💘 :
🤣🤣🤣 dah
2026-08-27 19:20:46
0
kids.mbezi
ANGELINA KDS MBENZ :
duhhh🫡
2026-08-27 10:00:15
0
nafsahamis
Nafsa Hamis :
dah yn nilishasahau kma kuna folen ivi🤣🤣
2026-08-27 12:36:04
0
zay33378
Zay🥰 :
mim making yangu yalienda kuibiwa nikiwa naenda kituka rede🤣
2026-08-27 10:37:14
0
londongirl_tetere
lONDON GIRL :
kuna siku nilienda na mahindi kilo tatu nikarudi na unga kilo sita( niliiba unga wa mtu na pumba juu)
2026-08-27 18:41:02
1
babyjessy199
BabyJessy :
dah hapa ndiyo nilikuwa naiba unga wangu silipi naondok
2026-08-27 14:17:54
0
laght17
ester❤️❤️❤️ :
na iba alizeti na kula
2026-08-27 10:42:35
0
homestore225
Home-store225 :
daaa nakumbuka mbali sana oljoro 833kj unaagizwa asubuh unarudi jioni
2026-08-27 13:14:14
0
tumain.mangao
Tumain mangao :
nafikiwa saaa ngpi niende nyumbn 😂😂 ila kijijn jmn
2026-08-27 09:06:56
0
sweetmercy484
mercy🌹🌹 :
Nilikua sipend kwend kusag Jmn Nilikua Naon aibu maan mashin ipo karb na kijiwe cha bodaboda walikua wananitaniaga🥺
2026-08-27 20:32:56
1
osiligi12
Osiligi12 :
daaa nimekumbuka mbalii lkn kwa goodi mashine
2026-08-27 18:59:53
1
itc_maua
itc_Maua :
naomb umem usirudi Ili tupike ubwabwa🥰🥰
2026-08-27 09:29:33
2
To see more videos from user @nerymorc, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About