kuna watu wanalaumu tu bila kujuwa chochote kuhusu hapo ila hiyo ni barabara na ina lami kabisa lakin watu wamepageuza soko na kuiziba hiyo barabra
2026-09-01 05:04:55
5
official rey🦋🦋 :
manzese au macho yangu
2026-08-30 17:29:33
4
Idrisa saidi Saidi :
manzesee iyoo
2026-09-01 16:23:12
0
Anord fans🫶🇹🇿 :
ilaa Tanzania 🇹🇿
2026-08-31 09:25:50
2
Shaban dilunga :
MANZES MABEGANI IYOO😭😭😭
2026-09-01 09:18:46
0
hatunaga namba AD :
mi5 tena
2026-09-01 09:34:54
0
KING 🤴 🐅 TIGER :
dah bora aisee maana ilikua hakuna njia tena na hiyo ni barabara
2026-08-31 10:02:32
2
mudy mkilindi :
iyo leo iyo
2026-09-01 15:03:46
0
yohana msela :
wapi apo
2026-08-27 12:39:15
2
private education :
wanangu wa manzese vip tena.nashindwa kuerewaaaa.
2026-08-31 18:12:43
1
smille love :
ila bola wametanuwa apo
2026-08-31 11:49:12
1
ABACHA 4G :
kwer zalau
2026-08-31 12:07:46
0
Mohamed shemahonge :
ap oy
2026-08-30 19:20:05
0
shafii mkali. :
14
2026-08-26 21:03:58
1
@man_dova :
jamaa waliziba njia hapo kwa kufanya biashara na kuna makaz ya watu
2026-08-31 09:27:08
0
cam 👁️see☠️☠️☠️ :
aiseeeh sisemi vibaya kwakusema Samia afai lakini Ii hali angeiyona MAREHEM JONH POMBE MAGUFULI UYO LOTOA IYO AMLI MBAKA GREDA KUJA APO ANA KAZI TENA TUMEKUKIMBUKA SANA MZEE WETU MTETEZI WA WANYONGE🥹🥹🥹🥹🥹🥹😭😭😭😭😭😭😭
2026-08-31 07:44:12
1
Yahaya Omari :
manzese hiyo
2026-08-31 09:54:58
1
misssophie❤️🔥📸 :
Apo manzese palikiwa mvua ikinyesha hapafai 😂😂😂 acha watebgeneze tu
2026-08-31 14:43:18
0
sparrow 190 :
october c mlitik😂😂😂
2026-09-01 12:47:52
0
TONY SIX :
wasilaumiwe mana walitangaza kabla barabara waliigeuza soko
2026-09-01 12:57:19
0
🖤🖤🖤Wamirembee👿👿👿 :
Mm jana jion nimepita walikuw wamemwaga maji nikakata viat na lile tope aibu yang kwa kutembea peku
2026-09-01 10:25:18
0
issa mkorogo :
sahv kumetuliya kdgo hapo manzese
2026-08-31 11:36:02
0
To see more videos from user @dax50676, please go to the Tikwm
homepage.