lïKweli kabisa na bado tunaitwa mbwa mungu atujalie 🙏🙏🙏
2026-08-27 05:09:40
3
🤎🦋Ummy🌹🤎 :
sio kila aliezaa ni malaya jmn wengn wamezaa kwa shd za maisha eh 😭😭
2026-08-27 07:12:32
2
ukhty hajra :
Habari naombeni namba ya huyu dada kwamwenyenayo
2026-08-27 05:51:07
1
okela sàmwel rix :
mbona mm nimetoa mimba na ninawatoto watatu msiwe mnawahukumu watu kwamba wametoa mimba
2026-08-28 17:20:20
0
Kidluxy :
nikumwomba mungutu
2026-08-28 05:45:52
0
AutoProTech&Service :
Nibora wenye watoto kuliko wenye watoto
2026-08-27 23:15:51
0
Girl in Hangar🌹✈️ :
hata wavulana wenye watoto wanashida
2026-08-27 07:00:14
0
Majidy Ally :
tushaogopa tayari
2026-08-28 06:16:26
0
Chagu ndulu :
Kuna mdada nampenda ana mtoto nimemwambia nimuoe na mie bado kijana akanambia nimpe mda leo hii wiki mbili ikifika wiki ya tatu haeleweki namove on.
nipe ushauri kama inawezekana nampenda sana yule dada kingine kiumri tunaringana wote tuna miaka 25 naomba kuwasilisha
2026-08-27 06:47:11
0
tatucute :
kweli mama
2026-08-27 06:39:17
1
AutoProTech&Service :
Nibora wenye watoto kuliko wasio nao coz wametoa Sanaa mimbaa