@massoudkhaifan: Katika maisha, si kila jambo tunaloweza kulizuia, lakini tunaweza kumuomba Allah atulinde na kila shari na atufunike kwa rehema Zake. 🤲🏽🤍 Mola wetu atuepushe na huzuni, madhara na mitihani inayotuvunja moyo, awafurahishe wanaotupenda kwa habari njema kuhusu sisi, na atujaalie kila tunalopitia liwe na mwisho mwema duniani na Akhera. Aamiin Ya Rabbal-‘Aalamiin. #jumaamubarak #foryou #fyp #viral