Mbona Huwa mnatuelimisha kwamba tusitumie cmu tukiwa tunaendesha
2026-08-27 19:04:50
4
NightKiller🔥 :
Sasa na wew kamanda hlo gari nilifate nyuma nyuma likirudi nyuma jee
2026-08-28 04:40:04
2
Hussein Gangster 47 :
arusha waligungiwa leseni ni AI
2026-08-28 04:44:34
1
mkali wa izi kazi :
hatari sana
2026-08-28 04:22:49
1
Bashir257 :
Nimekwisha mm nnavyozipit zile 113 😂😂😂
2026-08-28 04:28:13
1
mzee mbuzi :
umbea hatujafunzwa mzee
2026-08-28 04:30:52
1
D dazzo Tz :
kwaiyo tuwasaidie kazi
2026-08-28 03:00:02
1
R50 :
na hiyo inayotembea polepole barabarani sheria inasemaje
2026-08-27 19:03:01
2
SERVANT TANZANIA 👑 :
Ongeeni na madereva wa Serikali yenu kwanza
2026-08-28 02:27:37
1
J4 :
Naomba unaze nakuzionya kwanza gari zote za uma maana izo gari mdizo zakwanza kuvunja sheria na hakuna hatua mnayo ichukuwa tena wakati mwingine ni mbele yenu ni kwann wavunje sheria nakama wanaharaka kwann kikosi chausalama barabarani kwann msiwaongoze
2026-08-27 20:30:40
2
Filbert :
Magari yenu ya Serikali yanaongoza kwa uvunjifu wa sheria ,je tuyarekodi pia?
2026-08-28 02:23:38
1
Mwasu_Boy :
polis yupo sahihi sana, kuna madereva hatujielewi kabisa
2026-08-28 01:20:56
1
omary gama :
kwaiyo mmeturuhusu tutumie simu wakati wa kuendesha au me sijaelewa🥱
2026-08-28 03:22:59
1
user1877751721246 :
wwe unaweza kumrekod mwenzio akikosea utume kwa IGP
2026-08-27 20:47:45
1
Mtravel 11 :
mimi bn umbea siwez
2026-08-27 12:17:37
1
benbryson :
itakuaje pale ambapo afisa usalama barabarani anakuandikia faini bila kukusimamisha au kukagua gari??
2026-08-27 18:51:56
0
TOTO..BADDY🚛🇿🇦🇹🇿 :
xaxa afande 😳au bas
2026-08-28 07:17:42
0
Eliud Assenga :
mwalimu wangu veta njiro
2026-08-28 06:24:56
0
Miraji Juma :
kutumia sm wakat unaendesha nikosa Sasa nitamlikodi vip
2026-08-28 05:43:46
0
MR.ANWARI📸🛣🚛🚌 :
nipe Namba Yako
2026-08-28 06:26:58
0
user4694971199906 :
sasa driver hurusiwi kutumia simu kwann arekodi huyo ndyo mstakiwa wa kwanza ! ushauriwa wangu kulingana na muongezeko wa mgari Tz zitanuliwe bara2 kutoka Dar; tunduma na Dar, Rusumo hasa sehemu zenye milima