@balamatz: Huyu hapa mrembo wa tiktok #aiemlucita anafunguka na kusema kuwa yeye hakupendezwa sana na matusi mengi aliyokuwa anatukana Somadia kabla ya kupewa onyo na waziri gwajima, na baada ya kuuluizwa vipi kuhusu yeye akipewa onyo na waziri au mamlaka je atajisikiaje, amejibu na kusema atafuata kila kinachosemwa na mamlaka kuu kwa namna yoyote ile, na kuongeza kusema kuwa maudhui yake sio rahisi kuharibu watoto kwa sababu ni ngumu mtoto kushika simu kwani simu sio kwa ajili ya watoto.. je maudhui ya #lucita yana madhara yoyote kwa watoto??