@matukioonline_tv: Rashid Ramadhan (53) ambaye ni Mkazi wa Tandale, Dar es salaam amerejea Nchini Tanzania leo Agosti 26, 2026 kutokea Afrika Kusini alipoishi kwa miaka 30. Akizungumza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Ramadhan anasema maisha ya Afrika Kusini ni magumu na hakuna aliyochoambulia zaidi ya kuacha Mtoto na mali ambazo hawezi kuzijutia. “Tunamshukuru Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuja kutuchukua Ndugu zake, hakuna maisha kule,”. #UPDATES

Matukionline Tv
Matukionline Tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 27 August 2026 09:37:34 GMT
115845
3573
127
123

Music

Download

Comments

reymely4
Reymely :
Sio kila mtu Ataeenda nje lazima afanikiwe jmn mtoaji ni MUNGU jmn sio kila aliefeli kapenda ni utafutaji ni hatima iliofichwa
2026-08-27 11:50:35
103
eli.fred1
Elifred :
tumekwisha watu dar hiz namba zitatuibia sana
2026-08-27 15:02:03
12
petergodfrey122
petergodfrey6397 :
mfike tz Tena mseme Samia m baya mana shkrani ndo tunazikosa
2026-08-27 12:32:17
13
sadickkakatu0
Kakatu JR :
Tujiandae na Mali zetu sasa!!kazi tunayo mtaani
2026-08-27 14:33:44
16
gabimaghitz
gabimaghitz :
Aya tafteni NIDA
2026-08-27 14:29:52
2
dalalimpemba_tz
DalaliMpemba_Tz :
Namba 45 ndio Huyo sasa
2026-08-27 12:44:45
7
user2611698541631
noely noely :
kufeli south Africa sio kufeli maisha pengine hatima yako IPO dar so never give up
2026-08-27 18:23:52
3
theson694
the@sun :
ulikua unafanya kaz Gan?
2026-08-27 13:55:17
2
prudent.girl4
bulletproof🤫 :
so sorry to you
2026-08-27 09:53:41
0
mika.juma2
mika juma :
mtoto siyo mali huo ni uzao tu
2026-08-27 10:59:48
4
user4107610819756
[email protected] :
si mnasema tz ni inchi Haina amani imekuwaje
2026-08-27 15:11:02
2
baba.anna2
baba anna :
😅😅😅 Bora hat sisi tuliobaki nchin mbn wamechoka san
2026-08-27 10:27:40
7
kassim.jakaya
Kassim Jakaya :
miaka 30?
2026-08-27 16:17:01
0
user115085340094912
45 :
mjomba umekuja na mke wako shangazi mmeludi wote
2026-08-27 15:09:13
1
user846710513774
user846710513774 :
hapa ni kuchunga Mali zetu jaman
2026-08-27 16:31:19
0
makubimakubh
makubh 26 4𝐋🇹🇿 +🇿🇦🦅 :
26 inasebenza
2026-08-27 16:13:25
1
finadanielfinadan
lady fina :
bora ungebakia nyumbani ungekuwa mbali sana kimaisha ila Pole yako kaka
2026-08-27 14:19:29
1
ismailijafar
Ismaili jafar makaveli :
mnatuletea watu ambao wamesha choka nguvu kazi. wamezimalizia huko
2026-08-27 10:41:50
0
leithserenge
LeithSerenge :
wamechoka kweli
2026-08-27 10:25:17
1
hassan.makaran0
master h :
dah jamani mweshimiwa rais, tumekwisha sasa dar vibakq wanatud mtaani sasa tuwe chonjo,😭😭😭😭
2026-08-27 15:15:49
0
tengexa38kibs
TengexaKibs :
tandale kwa kina msanii gani vile...
2026-08-27 20:55:41
0
user90732973172
mrs h :
kupumzika au kuteseka
2026-08-27 20:06:02
0
salmasaidnzehimana
Salma Said :
Hassan mtambo sijamuona
2026-08-27 20:25:09
0
sharifuramadhani48
Sharifu Ramadhani :
Lazima ulipe Deni la Taifa hatuwezi kulipa peke yetu
2026-08-27 19:44:21
0
To see more videos from user @matukioonline_tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About