@nijuzenews: Jussa: ‘Kero kubwa mmeichukua nchi yetu, hatutawaachieni mpaka muirejeshe’ Makamu Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa, ameyasema haya Agosti 26, 2026, katika ziara maalumu ya Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Othman Masoud Othman iliyofanyika Mkoa wa Kati, Unguja. Subscribe kwenye YouTube Channel yetu kwa habari motomoto>>> https://www.youtube.com/@NijuzeNews Subscribe kwenye WhatsApp Channel yetu>>>‎ https://whatsapp.com/channel/0029Vb6s4M91NCrctJX2YG2u

Nijuze
Nijuze
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 27 August 2026 11:23:45 GMT
14014
473
31
77

Music

Download

Comments

gellar_
Gellar :
oh no😳!, I don't think Nyerere would say that... Not the Nyerere I know.😳
2026-08-27 21:00:20
0
user790152196752
user790152196752 :
jussa nakukukubali hupindishi maneno ,maneno yamenyooka kwenye mstari hongera sana unatuelimisha wataiona hivihivi zanzibar yetu
2026-08-28 06:39:34
3
silencer696969
THE SILENCER :
hakuna moja alotuachia zaidi ya ubaguzi wa upemba na uunguja
2026-08-27 23:16:02
1
yussuf.sheha6
oya weeee :
Isha Allah
2026-08-27 18:58:44
1
abdallah.luqman
Abdallah Luqman :
kabsaaaa👌
2026-08-28 10:23:52
1
your_fav_choir_master
your_favourite_choir_master :
kwaio mnatakaje??
2026-08-28 11:12:16
0
gadafi13224
gadafi :
Ccm nivibaraka wa tanganyika wapo kwa ajili ya maslahi yao tu ila sio kwa wazanzibar
2026-08-28 21:45:37
0
coolrunning.rasta
Coolrunning :
sawa sawa
2026-08-28 10:30:06
1
murtadhahassan902
murtadhahassan902 :
ila Maalim amedhibiti Usalama na Amani ndani ya Zanzibar basi Ni yeye vyeginevyo tungalikuwa na Mapinduzi na mauuaji wa wenyewe kwa wenyewe na pengine tusingekuwa tena na Zanzibar wala Serikali ya Zanzibar hivyo huo n😊dio Mchango na Mafanikio ya Zanzibar itabakia labd watuvamie tena
2026-08-27 13:10:54
2
user30563639494727
Saigon III :
1959 kabla ya uhuru wa Tanganyika😳😳
2026-08-28 13:08:46
0
salimalnadaby
Salim Alnadaby🇴🇲 :
2026-08-27 13:20:03
0
abdulmalikhaji466
Abdulmalik Haji :
asante mh jussa mbungo wa watanganyika
2026-08-28 06:40:18
2
murtadhahassan902
murtadhahassan902 :
kweli mafanikio makubwa ya Maalim Seif ni Sera ya Serikali tatu lakini hii siyo Sera yake bali muasisi wake ni Mheshimiwa Aboud Jumbe ambaye ndie Aliyetayarisha Katiba ya Serikali ya Mapinduzi kwa kushirikiana na Mwanasheria Mkuu kutoka Ghana na Akatayarisha Na kuwateua Wajumbe wa Baraza la Wakilishi na kuzinduliwa kwake na Mheshimiwa waziri Kiongozi wa Mwanzo Mheshimiwa Ramadhani Haji
2026-08-27 13:07:04
1
yussuf.sheha6
oya weeee :
safi kbsa
2026-08-27 18:44:02
1
ibrah_bazooka
Ibrah_bazooka :
Hivi Tanganyika tunafaidika nini na Zanzibar mpaka tupigwe vijembe hivi😂
2026-08-27 17:32:09
1
user9835816205682
user9835816205682 :
mafanikio makubwa kuleta chuki na roho mbaya zanzibar
2026-08-27 19:57:33
0
dotwagu
ragdE✋️ :
kabisaa kingesokomewzwa😂
2026-08-28 07:20:02
0
manlikeaarons
Aaron :
Jamaa siasa za chuki, ila juzi tu hapa kaokota vyeo
2026-08-28 02:45:18
0
coolrunning.rasta
Coolrunning :
tungesema sie tungembiwa wachochezi
2026-08-28 10:32:20
0
himgolden
Himgolden :
Lakini Mbona kuna uunguja na upemba
2026-08-28 06:44:57
0
salimsuleimanalfa
salimsuleimanalfa :
😁😁😁
2026-08-27 19:18:35
0
brothermozez
Black :
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
2026-08-27 14:42:18
0
mwanambaya.gezaul
Mwanambaya Gezaulole :
@😏
2026-08-28 14:53:24
0
To see more videos from user @nijuzenews, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About