@tariq.hussein05: Tanganyika, Tanganyika, Tanganyika, Tanganyika Watanganyika bila Katiba mpya yenye kutoa mustakabari wa Muungano kuhusu Serikali ya TANGANYIKA tutasaga meno. Ni bora "Mkuki wa Taifa"

Tariq Hussein
Tariq Hussein
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 27 August 2026 14:58:16 GMT
30171
457
65
22

Music

Download

Comments

kjw917
KJW :
leooo hiiii😅😅😅😅😅😅
2026-08-28 05:22:48
0
barama681
domi🇹🇿🇨🇦 :
Leo hii😁
2026-08-28 10:03:56
0
ahmed.salim473
Ahmed salim hijab💕 :
Sasa sii ndio kwao nyinyi mnataka agemeye wapi
2026-08-28 07:44:44
2
daudi.mustapha
Daudi Mustapha :
Mkimaliza kuzungumzia Utanganyika Mtageukia ukabila theni Udini maana dhambi ya Ubaguzi haijawahi muacha mtu salama. Wakati wa Tawala zilizopita hatujawahi sikia UTANGANYIKA wala UZANZIBAR. Acheni wivu.
2026-08-27 17:52:19
5
kizenga.nasoro
Kizenga Nasoro :
je mtanganyika anaweza kua rais wa zanziba
2026-08-27 18:18:10
0
seif.kabelele
Seif Kabelele :
MTANGANYIKA HSLUHUSIKI. KUMILIKI ARIDHI HUKO. ZANZIBAR
2026-08-28 08:50:38
0
allah.karim61
allah karim :
mmeyajua leo
2026-08-28 07:03:53
2
salumu.salumu01
salumu salumu :
ctumetaka mugano jamani achaiwehivyo
2026-08-28 08:39:57
0
mjuni03
mjuni03 :
Hii ni kawaida sana kwa viongozi wote hasa wa Ccm . Leo tumesahau Chato ? Watu walinunua viwanja Chato kwa kujipendekeza tu na baadae wakaviacha.
2026-08-28 05:25:51
1
salim.ngengele
Salim Ngengele :
t
2026-08-28 05:57:17
0
professor_diesel7
professor_diesel7 :
nini maana ya muungano
2026-08-28 05:56:51
0
k.rang7
k rang :
samia rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania ni mtanzania halisi mipango yao walozoea kufanya ina fifia siku hadi siku tutawasikia sana hii ndio tanzania huru ya watanzania sio ya kikundi fulani kinachohodhi mamlaka watakalo ndio hupanga hakuna hyo hamjasema ccm mko vzr toeni virusi nchi ipo salama
2026-08-28 14:52:10
0
ali.yusuf6117
ali yusuf :
SIO HAKI YA TANGANYIKA ,, TANGANYIKA YENYEWE HAIPO IPO WAPI ???
2026-08-28 10:54:55
0
user8374907957315
user8374907957315 :
Kila kitu sasa hivi ni zanzibar tu.hali ya sasa nimbaya mno
2026-08-28 13:27:56
0
user3361865952294
user3361865952294 :
naumia san
2026-08-28 14:07:56
0
abubakarseleman24
mawigi :
mi shida yangu sgr ifike mwanza tu ndo ntamuelewa samia
2026-08-28 14:10:14
0
kidevu78
kidevu :
bas kuazia leo ataegemea kwenu
2026-08-28 08:18:45
0
seif.kabelele
Seif Kabelele :
OK
2026-08-28 08:42:28
0
bakari.yusufu23
Bakari Yusufu :
HATA AFANYE VIPI ASILI NI ASILI TU HAWEZI KUMALIZA RASILIMALI TULIZONAZO NA HATA VIWEZWE VIP RASILIMALI,ATAKUJA RAISI MUNGINE ATAVIRUDISHA TU.NAMKUMBUKA SANA KAMANDA MAGUFULI.
2026-08-28 05:52:10
0
user._000123123
user :
utawala kaweka mungu mlitaka mzanzibari asitawale na raisi wa zanzibar mlikua mnamchagua nyie mnaemtaka wacheni ubaguzi
2026-08-27 21:12:28
0
user5211212487618
Lord Sr :
Baba wa Taifa kmnmkas, bbbxzz afugvb
2026-08-28 05:28:08
0
salehhassan2399
Saleh Hassan2399 :
Iyooo Tanganyika imekufaa tokaa 64 hakuna nchii ya tangayikaaa
2026-08-28 13:53:29
0
nseifsaid
N Seif Said :
wacheni ubaguzi na chuki sote ni kitu kimoja
2026-08-28 05:11:55
0
yunus.abdur
Yunus Abdur :
haiwezekani kabisaaa ata kuteuliwa ukuu wa wilaya hamna
2026-08-28 05:10:49
0
mjuni03
mjuni03 :
Mtu kwao
2026-08-28 05:25:56
0
To see more videos from user @tariq.hussein05, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About