@bongofive: Ado asema “Kobe akiinama” Mbunge wa Viti Maalum kupitia chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Sigrada Mligo akitaniana na Mbunge wa Tunduru Kaskazini (ACT-Wazalendo), Ado Shaibu kuhusu kuogopa kuzungumzia suala ya kujiuzulu kwa Dkt. Nchimbi nafasi ya Makamu wa Rais. Una maoni gani? Imeandaliwa na @yasiningitu
Kwan mbna munanichanganya kwani kafukuzwa au kajiuzuli
2026-08-28 03:15:47
7
selemani :
sigrada sautiyako tu,mie kwishaaa.👍👍👍
2026-08-28 05:30:14
4
MR UNSTOPPABLE FX :
kwani huyu dada ni mbunge wa wapi kwani?
2026-08-28 07:43:40
2
cut Isabella :
dada taratibu kpenz, watakupoteza
2026-08-27 20:44:17
14
judymwacha :
napenda sauti ya sigrada
2026-08-28 05:16:09
3
peoples favourite :
ndio tumefika hapo sasa
2026-08-28 05:01:02
3
Danny Jordany :
nyiee wawili ndioo Tz 😊
2026-08-28 03:52:22
2
Joe Emanuel :
yaani Sigra ADO angekuw mume wake wangeendanaa
2026-08-28 06:51:17
1
josephraymond923 :
sasa kama mbunge anaogopa mwananchi hali yake ipoje wakuu naomba kujua jambo apo🤣😂
2026-08-28 06:18:09
3
PROMOTER~JEX-KEX +255/+256 :
I love you she's
2026-08-27 20:51:04
3
Anderson Mbonea :
mungu taagalie tanzania
2026-08-28 04:18:27
2
0628121458 anko mud simb :
may sisit Husiyonge San tusije tukakukosa bad tunakupeda San san
2026-08-27 21:37:58
5
violetmmasi :
Ninasikitika bunge liko kimya
2026-08-27 21:59:22
6
Samweli Ngungulu :
mhhhh
2026-08-28 05:34:02
1
user9974653024993 :
hapa kunaki2
2026-08-28 06:58:33
1
ARON ANSELEMI :
matapeli wa kisiasa
2026-08-27 23:05:31
1
Ommy tyger ♥️🔐✅ :
@Ommy tyger ♥️🔐✅:@Ommy tyger ♥️🔐✅:Mi kwa mtazamo wangu, na maoni yangu, nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mm naweza kuwa na mtazamo ambao Nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni ambalo kwa maoni yangu naona kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufundi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa sina cha kusema😭
2026-08-27 21:56:39
2
comedycen7 :
Nashindwa kuwaelewa
2026-08-27 21:23:35
4
nyamasheki j manguya :
naomba kujua chimbi kafukuzwa kivi eti chama je kamati ya chama imekaa lin ikaja na uwamuz huo du
2026-08-28 05:00:35
3
najma othman :
Yaa hii ndio jawabu la taasisi kubwa hakuna mtu mkubwa juu ya tasisi tasisi ni kubwa kuliko mtu
2026-08-28 07:18:50
1
_abuu93_ :
duuuh
2026-08-28 08:29:44
0
Asha Mwanyanja :
huyu ni mbuge wa iringa
2026-08-28 08:04:14
0
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm
homepage.