hapo kila kitu imekamilika kwa taifa letu la Tanganyika ata wakigawa hajuna baya.
hapo tiari tuna Rais Majaliwa maakamu wa rais Mpango waziri mkuu Nchimbi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tutainjoi na Tanganyika yetu
2026-08-28 09:47:29
2
Durand Kilonzo :
Itakua safi tutatoka katika ukoloni mambo leo
2026-08-28 05:41:29
3
onesmo sanga :
itakua powa san yan
2026-08-28 06:13:52
1
Siyame :
tutaipata Tanzania halisi yetu
2026-08-28 07:36:20
1
frola silvesta :
daah jamani hata itakuwa frahakubwa sana na waziri kasimu majariwa atdkuwa raisi wa nchi 🥰🥰
2026-08-28 10:31:03
0
KILI HOPE ORGANIZATION :
hizo ni ndoto za mchana pia watakua hawafai kama ni kutetea wananchi pia wanaweza wakiwa huko huko CCM anaehama sehemu nyingne ni uchu wa madaraka hafai huyo
2026-08-28 08:09:18
0
Jeremia Yambi :
utatu mtakatifu
2026-08-28 09:34:46
0
kize boy :
itapendeza sana km ikitokea hivi
2026-08-28 08:38:18
0
nangale :
CCm.atakuwa hana chake tena.
2026-08-28 07:31:40
0
makena marwa daniel :
ewa
2026-08-28 08:47:37
0
kuyamba Tv 📺 :
ushindi huoo
2026-08-28 08:14:18
0
obama manumanu :
Karibuni sana CHADEMA ,palipo na haki kumenoga.
2026-08-28 09:55:16
0
selestian :
kila mtu atapata haki yake
2026-08-28 08:18:23
0
Mr. lawi :
Tanzania mpya inazaliwa✌️💪
2026-08-28 08:18:49
0
reyyRehema Raymond :
watulie tuu kimya alie ccm abaki ccm alie tolewa chama atelie.namungu wake
2026-08-28 08:33:17
0
frola j nkolikwa :
Yani itapendeza sanaa
2026-08-28 04:53:53
0
Ramadhan shaban :
hapo ndio itakuwa mwisho wa ccm
2026-08-28 08:50:21
0
Restuta Mwapinga :
Kwa kweli mmependezana
2026-08-28 06:16:43
0
user9971984076690 :
ndio mwisho wa chadema hatuja msahau lowasa
2026-08-28 06:47:09
0
john andendekisye :
ccm mbona haipo tena ccm imebaki kwa police tu
2026-08-28 10:31:50
0
aron :
vema
2026-08-28 07:09:37
0
user38114651599617 :
inchi itakuwa poa
2026-08-28 05:37:07
0
Frankephillimon :
Utakuwa ndio Mwisho wa chama cha sisiem,,
maana wana influence kubwaa
2026-08-28 06:50:44
0
bekamselemani :
dah kuta kua pamotoooo
2026-08-28 05:09:08
0
To see more videos from user @jamesemmanuelmaru0, please go to the Tikwm
homepage.