@gaahonlinetv:

GAAH ONLINE TV
GAAH ONLINE TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 27 August 2026 19:49:42 GMT
81038
3114
173
510

Music

Download

Comments

johnzakayo922
jzjz :
this is tanzania
2026-08-29 06:05:00
2
user54833170659492
user54833170659492 :
bigup ask off maneno mazuri
2026-08-29 16:53:23
0
user4560111617153
[email protected] :
mashaalla
2026-08-29 09:17:55
0
maalimkaisitv
Maalim Kaisi online tv :
Asa bwana Asikof kama walijua Hilo njoo KWENYE Dini ya Allah
2026-08-28 05:15:26
28
tatu.mayeye
mh DC :
i looooooove it
2026-08-29 07:19:35
0
user29330426675157
felista :
tunda la kanisa mungu akupe maisha marefu baba askofu
2026-08-28 08:00:43
27
hajihassanhamdan
Haji Hassan Hamdan :
Nimetokwa na machozi kuona tunakumbushwa Sisi tunaojiita waislam Kwa kusomewa yaliyopo katika surat Yassen kama ukumbusho na kinga kwetu sote. ALHAH AKBAR.
2026-08-28 06:57:39
18
urmminomary0
urmminomary :
huyu mzee ni mtu muhimu sana ktk nchi yetu Allah amlinde
2026-08-28 10:33:24
30
user25204563460372
EH Marxist🇹🇿🇹🇿 :
Na hutakuja Kuona kiongozi wa kikikristo akiisema vibaya dini nyingine hvi ndivyo tunatakiwa kuishi kwa kuheshimu dini za wengine cyo maneno machafu
2026-08-29 09:45:11
11
user9632429340290
user9632429340290 :
asikofu nimeenda sana njoo kwenye din ya haki utuogoze Hadi tutakapo ludi kweke mola wetu
2026-08-28 08:42:44
6
moody.mlosa7
Moody Mlosa :
tunatakiwa tuishi ivi
2026-08-28 05:21:38
13
ally.sharifu4
Doctor ally sharifu :
sisi waisilamu na wakristo sio maadui tupendane na tushirikiane kwa mambo ya kujenga taifa letu
2026-08-28 17:44:48
7
tatachief
Tata Mura :
huyu mzee ni nani kwani?
2026-08-28 14:23:59
4
jumanyange582
Juma Nyange :
Maa sha Allah. Mungu adumishe umoja wetu
2026-08-28 05:22:00
14
elisha.mwakireti
Mwakio Scott :
Exceedingly Expectations 🥰🥰🥰
2026-08-29 16:50:09
0
user63774968252332
user63774968252332 :
Kila mtu ajifunze kuisheshimu Imani ya mtu mwingine shida inaanzia kwa viongozi wetu wa dini baadhi maana wakisimama kuhubiri kauli zao ni za kusema dini za wenzao badala ya kuwafundisha waumini wao njia sahihi za kuiendea Imani yao
2026-08-29 05:28:26
7
kizbene
mukki 12 :
aisee inatakiwa tuishi hv usikute sisi sote kitu chetu ni kimoja tu
2026-08-29 06:30:19
6
abdallah.luswaga
Abdallah Luswaga :
Mungu akujaalie sana uwe namaisha marefu
2026-08-28 07:25:55
6
seleman.rashid.mg
Seleman Rashid Mgweno :
mungu akubariki askofu wetu muhimu wakristo na sisi waislam kwakweli askofu wetu nitunu ya taifa asante sana umetupa ulinzi na elimu sana,
2026-08-29 09:47:33
5
aanassir2
Mzalendo Mswahili :
“Wote hao si sawa sawa. Miongoni mwa Watu wa Kitabu wamo watu walio simama baraabara, wanasoma Aya za Mwenyezi Mungu nyakati za usiku, na pia wanasujudu.” “Wanamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na wanaamrisha mema na wanakataza maovu na wanakimbilia katika mambo ya kheri. Na hao ndio miongoni mwa watenda mema.” “Na kheri yoyote wanayoifanya hawatanyimwa malipo yake. Na Mwenyezi Mungu anawajua wachamngu.” Āl-‘Imrān 3:113–115
2026-08-28 07:20:36
7
maryamhaji1915
Mamu😘😍🥰 :
Mashallah 🙏🏽 Allah Akubark
2026-08-29 08:14:13
1
maryamhaji1915
Mamu😘😍🥰 :
haijawahi kutoka
2026-08-29 08:18:07
2
user8704009915706
[email protected] :
Karibu tuu huku
2026-08-29 05:17:09
1
salim_na_.narveen
salim_Na_ Narveen :
Askofu unakalisha adi mashekhee u napangilia maneno na Aya mafunzo kW uhalisia wa maisha ya sasa.. Kujifunza sio kitu kibaya mashekhee
2026-08-29 06:51:13
3
queen.of.peace7151
Queen of peace 🕊️ :
Askofu wa kanisa Gani uyu,?
2026-08-29 04:09:42
1
To see more videos from user @gaahonlinetv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About