Kaka mimi nilimuacha mwanaume lakin mapigo ya moyo huwa yanaripuka kila wakati mpaka nakosa nguvu alafu naanza kumkumbuka jaman .
2026-08-28 14:33:56
1
amina ally :
hiyo ya kutua kitu saa6 usiku ni kweli hivi haya mambo kwani haiwezekani kumrudia mwenyewe anayekufanyia?
2026-08-28 08:04:07
2
Mrs ue💕 :
Shekh Mim Nina hofu, kun nyumb nimepang Nina miez mitatu lkn. nilishikwa na. mapigo ya moyo mpk mtu unasem nakufa , nard nyumban kutok kzn naogop Kulal pek ang kun mda nasema Mim nakufa ohoo ugonjwa wa wasiwasi sielw ila ibada nafny hi hali Kwa nin🤔🤔😭
2026-08-28 07:06:13
2
Bby suu :
shukran sana
2026-08-27 22:13:59
1
Mwajuma Katania :
Ninazo hizo dalilli zote , nimehangaika sana mpk nimechoka
2026-08-28 00:18:27
2
Gloria Gabriel ♏️ :
mimi kabisaa
2026-08-28 08:39:30
0
princess A :
yaa rabbi tunusuru waja wako
2026-08-28 13:22:39
0
Rehema tisho :
huyu anaongea ukweli
2026-08-28 12:13:09
0
OfficialmudrationTz :
mungu akubariki
2026-08-28 07:17:27
0
Habiba Tamimu :
mbona hizo dalili zote zanguu ninazo
2026-08-27 22:40:27
1
ramshy :
wee hizi dalili nilikuwa nazo toka mdogo wallah,sijakuwa na nuru mpaka nimeolewa,ila huko kwenye doa sasa mungu tu ndo anasaidia na watu wa mwilini cz saa hii nikama nimejielewa,so huwa na jipambania na dua,alafu sasa hata nilikuwa mzito wakuswali,ila ilifika time ikifika tu usiku kuna sauti inaniamsha amka swali,but nilikuwa mzito sana kitambo niswali,mpaka asbhui moja nilivyo amka nikajipata nimechanjwaa wee hapo ndo niliogopa,ila nashukuru mungu nimesimisha swala zangu na nimekithirisha adhkar na kutafuta dawa za kisuna mimi mwenyewe cz nimejaribu kwa wanganga nikapata pia wananigeukia,saa hii naogopa wanganga hao walimu wengine pia siwamini,asante ustadhi kwa hizi dalili,
2026-08-28 06:28:38
0
amina :
mi tamani kuondoka kwangu na roho inauma sanaa. mpaka natokwa na machozi. kuna saa natakq kukaa peke yangu kimya naumia sana
2026-08-28 06:43:09
0
muna_colletion_shop01 :
wallah wabillah hizo dalil zote ninazo haswa kwa sasaiv yarabi stara yaarab😭😭😭😭😭
2026-08-28 03:14:22
0
Gloria Gabriel ♏️ :
Asante sana kwa kutufungua akili
2026-08-28 08:41:47
0
♓️ tulsi :
Nimeswali hadi nimechoka naishia kulia tu
2026-08-28 09:11:22
0
Thania Khamis Salim :
uyu ni mimi kabisaaa
2026-08-28 05:00:26
0
Muni :
Mungu awashinde hao mahasidi
2026-08-28 16:23:14
0
BRAJIDO :
umesema kweli je suluhisho
2026-08-28 15:13:36
0
neema jonasi :
mwili wangu unasisimka janam toka tarehe 23 nisaidien
2026-08-28 13:39:28
0
ukhty Aisha :
hamu ya kula ni mimi huyo
2026-08-28 14:41:57
0
bintihamisi795 :
shukran kaka
2026-08-28 14:29:43
0
To see more videos from user @sheikhshariffjangri, please go to the Tikwm
homepage.