@adellatillya: “NYOSHI ALIVYOSAHAU JINA LA MUNGU NA KUSEMA YULE ANAEKAA JUU”

Coco
Coco
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 28 August 2026 06:50:59 GMT
85513
2814
90
113

Music

Download

Comments

homeboys328
Home boys :
Hapana kingereza cha marakani na Uk tafauti na kingerza cha Kenya na Tz tafaut na Uganda na Naageria pia tafaut
2026-08-29 02:26:23
8
sister.p__
HADIJA :
nimecheka mpaka kinena kimenicheza 😂😂
2026-08-31 10:37:11
2
itsgideonpaul
Gideon Paul Magangira :
Sio kujivuna au kukataa uhalisia wako, lakini nimekuwa university hapa kwa miaka 5 sasa, nikamaliza na sasa naendelea tena. Kwa hiyo kiukweli, ukiishi na mzungumzaji wa hiyo lugha, utagundua kwamba unaweza kusema kitu in English lakini mtu asielewe kbs unamaanisha nini. Ukisema “WOTA!”, the confusion would be kwamba anaweza kudhani unasema “What a…” 😂 it’s such a popular and most used phrase in English so that could be a confession someone would say what the heck oh you may see even some Gospel Minister they say what in the world it’s a phrase so if you say water in terms and pronunciation that could be a confusion. Yako maneno mengi ambayo unless you use proper intonation and pronounce them as they should be pronounced, you’re cooked! 🙌🏾 Vitu kama idioms, slang, etc. si rahisi kuvijua unless you live with people who speak the language. So, someone from America may not necessarily speak English the same way you do. Bongo tunaongea Kiswahili kilichochangamka, then we claim it is English! 😂 Ni kama Wakenya na Wanigeria wanaongea English yao ambayo ni very poor and inappropriate!
2026-08-28 21:36:24
7
lionheart_tz
Kowero :
Atamkumbuka siku ambayo Mungu Akimsahau yeye
2026-09-14 10:42:17
0
thomas.ufunuo
Thomas ufunuo :
nyoshi tutakufuatilia[Laugh approved][Laugh approved]
2026-09-09 17:07:05
0
e.movie5
e.movie :
nyoshi
2026-08-28 09:14:49
6
benizanzibar
beni zanzibar :
Oscar
2026-09-11 08:54:50
0
neema.msolasa
Neema Msolasa :
anaekaaa juu😂😂😂😂
2026-08-29 15:08:16
1
mshale720
mshalethe :
kweli kabisa
2026-08-30 19:17:18
0
mussa.ali631
Mussa Ali :
kimsingi hakumsahau mungu ila kalisahajina la kiswahili linalotamkwa mungu ila kwapengine kwa kifaransa au kikongo alikuwa anajua aiteje. nahis.
2026-08-28 20:39:37
5
johnchele796
John Chele :
inategemea marekani kaenda akiwa na umri gani
2026-08-29 07:00:19
4
baraka_madini
Baraka_madini💎💸 :
mmi kiswahili chngu cha kisukuma na nakaa south Sudan
2026-08-29 03:16:57
1
mvukamto
MVUKAMTO :
duhhhh....Tanzania sote peponi...kama mtu anamsahau Mungu 😇😇
2026-08-29 09:13:52
1
nadir_____95
N95 :
kweli
2026-08-28 13:55:33
1
ibrahim.adam2275
Ibrahim Adam :
hiiii 👋🙂
2026-08-28 08:44:39
1
hamis_p_mwandu
hamis_p_mwandu :
big up sana kwa Bro Ernest Boniphace Makwiro (EBM) miaka mingi sana yuko USA na hajapoteza Tanzania wake
2026-09-11 13:50:27
0
yasinitwalika879
Yasini Twalika :
afu hii stori nilidhan uongo kumbe kweli maana nimesikia kwa watu wengi
2026-09-10 03:54:33
0
dismaslyimo602
BLACK 5 :
😂😂😂😂😂😂😂
2026-08-28 13:15:11
1
denicenobert
Denice Nobert :
nimechekasanaa
2026-08-29 07:28:08
0
user61418175139342
Sengobad :
Ila Oscar 😅😅😅😅
2026-08-29 13:56:57
0
mustafaluanda
Mustafi :
Na mm ambaye sijaongea kiruga from 2005 mpaka sasa mtasemaje
2026-08-29 13:36:36
0
khamiskhan727
Farhad Salman :
Niliisikia kwa Braza K 🤣😂😂😂😂😂🤣
2026-09-04 12:15:52
1
frankieonesmo
frankie onesmo :
we nyoshiiiiiiiiiiiiiii weeeeee😁😁😁
2026-09-08 20:23:56
0
mr.mtanga2
Mr mtanga :
du! hii ya nyoshi imenichekeshaa
2026-09-10 19:36:53
0
asombrossos
Asombroso :
Mbona mbongo anasema, "buludani" badala ya burudani. "Laisi" Samia badala ya Raisi Samia? Alafu pambe tu
2026-08-28 22:44:48
0
To see more videos from user @adellatillya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About