@evamrema2: Umewahi kupitia Hali hii? ikiwa Kuna namna wewe ni OVER-THINKER usiondoke hapa Leo, nitakupa na mbinu za kupunguza athari zake. ✍️ Eva Mrema. psychologist, life and wellness coach. #HealYourself #fypシ゚viralシ #trendingnow #trendingtz🇹🇿 #viralreels
mimi nikiingia chooni naanza kuwaza je choo kikititia 😂😂😂
2026-08-28 17:12:55
70
Bonface :
mimi kila muda nikiwaga alone nafikiriaga kuhusu kifo, yaani natengeneza matukio mfano bibi akifa, arrangement itakaaje dah!! sipendi sana
2026-08-28 09:19:38
46
Kitike outfit 😍 :
Mimi nawazaga…nishakuwaa tajiriiii mkubwaa!!migariiiii ya maanaaa,fwezaaaa kibao yaan😂 natumia hata siku mzimah nawaza tu
2026-08-28 15:57:49
14
Judy 🌷 :
mtu afanye nn aepukane na hiyo hali
2026-09-02 06:37:08
1
🤍Maryam Kahaby🤍 :
Yani this is me. 😩
2026-08-28 08:39:49
1
madamveeh :
mm nakaaga ivi nawaza nshakuwa tajir ninamjumba mzuri mkubwa magar mazur Nina pesa nasaidia watu
2026-08-28 16:14:32
7
INTROVERT power :
hatulali usiku ni nawaza nishaoa na inamiliki kampuni ni boss ofisini nina mke nina gari ni a kila kitu na mke wangu nampenda sanaaaaaaaaaaaaa kuna siku niliingia saa 3 mpaka inafika saa 1 asubuhi ndo nashtuka kausingizi kanakuja😂😁
2026-08-30 20:33:42
2
Journalist :
pole dada yangu tupo weng sana ndg ni vile tu sina wa kumueleza
2026-08-28 07:54:14
3
@Nisslioness :
mimi naona kua overthinker kwangu nikuteseka yan natengeniza huku kichwan kwambi nimefiwa namtu wangu wakaribu nalia kabisa na roho inauma au nikiotewa hata na kipele mwenzenu naona nshaumwa gonjwa kubwa had naenda hosp kupima naambiwa huumwi hivyo unavyowaza😭😭😭
2026-08-28 10:05:56
8
anstaziejackie :
nateseka mimi na hiyo kitu. Mungu mwema nisaidie
2026-08-28 07:48:36
4
aminaعبدالله ٩٩ami :
Ila mimi najiwazia mazur ata ni kusimulia saivi😁😁
2026-08-28 14:07:39
4
shuu oscar :
alifanyaje ukapona mimi nizaidi ya hayo na sipendi hii hali
2026-08-28 14:57:38
2
Balamus Bahamon♑ :
Sina cha kusema Bora nicheke tu😀😀😀😀
2026-09-01 19:17:30
1
Sorry :
Kumbe kuumba matukio kichwani na kureact ndo over thinking
2026-08-28 08:34:31
5
_Cocobelle🥥🇹🇿 :
Mimi uoverthinker umezidi nimekuwa nabii
2026-08-28 17:21:18
3
@MELVIN STORE 🎀 :
Mimi nikiota kitu kinatokea kama nilivyo ota jamani🙌🙌
2026-08-29 03:38:51
4
@iamshakira.tz :
naweza nikawaza mama angu kafariki nikalia kuja kustuka naliaa kwer tena machozii ya kuloanisha nguo nikistuka nakemea toka pepoo
2026-08-28 09:59:45
7
Bertha Joseph :
Nyie nyieee hii hali inatesa kuna mda unalaa unaanza kuwaza unaona tayar umefiwa na mtu wako wa karbu unaona ukilia mara ukipanda gari unaanza kuona kama ajari inatokea ukipewa taarifa ya mgonjwa unawaza tayar atakufa utakavoenda msibani af cha kushangaza tukio baya linatokea ukiwa hujajiandaa ila ukiwa umewaza tu wala halitokei baya