@nijuzenews: Jaji Warioba: ‘Niliona wanasema Nchimbi amenyang’anywa simu zake, yupo kizuizini ikanishangaza kidogo’ ubscribe kwenye YouTube Channel yetu kwa habari motomoto>>> https://www.youtube.com/@NijuzeNews Subscribe kwenye WhatsApp Channel yetu>>>‎ https://whatsapp.com/channel/0029Vb6s4M91NCrctJX2YG2u

Nijuze
Nijuze
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 28 August 2026 09:36:47 GMT
349378
15453
260
957

Music

Download

Comments

zeldakahitwa
Zelda Kahitwa :
Baba huyu amewekwa hai kwa makusudi, ila watu hawajalitambua hilo.
2026-08-28 10:42:29
250
r.boutfitsstore
RB -NGUO -NZURI ZA KIKE :
Kitu wasichokijua nchimbi, kanuni kubwa ya Dr Nchimbi "Kuishi kwangu ni kristo kufa ni faida " na sio unafiki
2026-08-28 10:33:26
203
thankyourojas
PASTOR THANKYOU ROJAS TZ :
TZ:Uadui ni mwingi, uchawi ni mwingi, fitina ni nyingi, ugomvi ni mwingi, wivu ni mwingi lakini Neema ya Bwana nayo ni nyingi!!! ikufae wewe unayesoma ujumbe huu kwa Jina la Yesu, Utashinda tu🙏💪💪💪💪💪
2026-08-28 11:46:43
280
amourseif137
Amour Seif :
Uozo wa nchi hii huyu mzee ni miongoni mwa waliouasisi
2026-08-28 11:04:41
71
shahdadlahdad511
shahdalahdad :
mmmmmmmhh
2026-08-28 17:21:58
0
prophetmarkisrael
Prophet Mark Israel :
Tanzania is now a Crime Scene
2026-08-28 12:41:22
5
yanga_bngwa
INTROVERT :
mzee wakati wako Kambona alivyosemq ukweli mlimfanya nini
2026-08-28 11:17:38
37
user4322455402015
Smart G :
one life another chance
2026-08-28 11:42:14
1
masanja1966gmail.com
HASSAN MASSANJA :
Mzee wakati wako Mzee Kambona uliposema ukweli mlimuweka gereza la Butiba zaidi ya 8 bila kumpeleka mahakamani
2026-08-28 10:29:30
23
johmaksan
monii :
natamani uzidi kua hai baba wewe ni mzalendo na tegemeo la watanzania ,,,hakika wewe hujawai kuwa mnafiki in that world🥰
2026-08-28 11:04:02
33
kishux_pter
Pshux :
Mzee Mungu amuongezee maisha marefu zaidi
2026-08-28 13:16:07
10
sebastianmaroda
Camera Quotes :
KILA ikitokeaga changamoto kidogo kwenye hii NCHI Sijui kwanini mzee warioba anafuatwa kutoa wazo,,,
2026-08-28 14:28:03
13
user1733854612785
user1733854612785 :
mhhhhh!!!!!
2026-08-28 18:18:14
0
mau.ame.19
Mau Ame :
pumzika baba lea wajukuu wafunze maadili mema waje kuwa viongozi wazuri na kuwaheshimu waliokuwa juu yao hata yeye asingekubali kudharauliwa
2026-08-28 11:16:14
13
jmonline_service
@Msukuma wa Mungu🙏🕊🇹🇿 :
warioba NJ mzee pekee alibaki kwa busara
2026-08-28 10:45:44
20
user9143808359484
merry ivo ivo :
Baba ni kwa nn awekwe kizuizni??? Yuko salama kweli!!!?? mhuuuu hii Kali ya mwaka,,,Ee Yesu kristo mwana wa nazaleti tulindie Emanuel nchimbi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2026-08-28 10:26:20
19
muganda_845
#DMS :
mzee bado unaamini prank tena😂😂😂
2026-08-28 11:08:01
6
samwelymtindya
sammer :
mzee mungu akulinde kwa nguvu zote amina...
2026-08-28 11:41:56
6
ibradizo
ibradizo :
mzee 🔥
2026-08-28 10:51:55
5
user9639811204868
P :
Mungu akulinde babu🙏
2026-08-28 10:36:31
6
mdudu116
mdudu :
mwamba kabsa ni mwaminifu sana juu ya maneno yake amekua ni mkweli mno mno Mungu amsaidie sana ukweli
2026-08-28 10:18:56
8
victormbogolo
mbogoro jr :
Mzee nakukubariiiiii
2026-08-28 10:16:57
5
justine.mramu
Justine Mramu :
CCM wapo na wafanyabiashara.
2026-08-28 10:25:55
6
user33632061902766
Sanya Warioba :
mmmh ila hii hatariii
2026-08-28 10:27:19
5
robertkatemi3
Katemi :
ccm haifai hata kidogo kuendelea kuitwa chama cha siasa. ni bora kikafutwa. tatizo ni kwamba mwenye mamlaka ya kufuta chama cha siasa amepewa kazi hiyo na ccm. kwa hiyo wenye mamlaka ya kufuta chama hiki ni wananchi wapiga kura kuyataka mataifa kupitia umoja wa mataifa kumtoa rais huyu madarakani kwa sababu mamlaka zilizopo nchini zimefungwa midomo na taasisi ya urais.
2026-08-28 10:40:18
5
To see more videos from user @nijuzenews, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About