@mwakagugu_jr: HATA KAMA UNA AKILI NDOGO KIASI GANI UTAGUNDUA HAWA WATU WALIFANIKIWA KUWADANGANYA NA KUWAUZA WATANGANYIKA, TUKO WAPI LEO WATZ...? . LEO WATETEZI HAWA WANAFANYA NINI...? AGENDA YAO ILIKAMILIKA, SASA WANAONESHA RANGI ZAO HALISI. MENGINE TUMUACHIE MUNGU. R.I.P JPM 😢 #magufuliwasahero #magufuli #tanzania #freelissu #mwakagugu
Kwani ubaya wake umefutika... Asingekuwa yeye kuuondoa upinzani madarakani hii Nchi ingefika uku mazuri yake yapo na mabaya ya kulicost taifa yapo
2026-08-28 11:54:49
52
ramjey_25 :
mbona umemsahau
mange
lisu
heche
roma
2026-08-28 12:25:46
18
Lameck Raymond :
weeeeeee acha2
2026-08-28 20:22:17
0
joshua :
fact kaka
2026-08-28 14:32:36
0
KING OF LOVE :
sema mjomba fuatilia siasaa... ila CCM kuitetee ni ni mtihani sanaaaa...
2026-08-28 11:23:18
14
Tsanga mbetswa :
nakumbuka kipindi cha magu nilinunua umeme wa 5000 ulikaa mwaka mzima
2026-08-28 20:49:27
9
Alison :
yote aliyafanya kutufumba macho tusione maovu yake ni sawa lakini leo tunaona alichokipanda ndio tunachokivuna hii bado ni serikali yake usisahau
2026-08-28 12:23:20
7
kit .b :
kigogo ni ROSTAM CHIKWETE SAMUYA ZITO NA MKUU WAZIRI HUYU ndo maana humsikii kigogo yale aliyosema POLEPOLE CCM mtandao
2026-08-28 10:39:05
8
Fatuma Mohamed :
huyu baba alinipa ujasiri wa maisha yangu mpaka saa hii
2026-08-28 20:18:04
3
Stew :
MAGUFULI ALIJARIBU KUMUUA LISSU,,ALIFUNGA SIASA NA VYOMBO VYA HABARI
2026-08-28 20:44:22
2
Mr GP🦅 :
Fact sanaa😁
2026-08-28 21:59:03
1
JOESON 🎶 :
shida ya nchi hii mmegeuza upinzani kuwa uadui badala ya demokrasia inakuwa demoghasia, hasa chama cha milele kinachowaza ni namna ya kubaki madarakani na sio wananchi wanataka nini. magu alidanganywa kwamba upinzani ndo unakwamisha, akawachukia na kuwawinda, guess what waadui zake walikuwa hao hao wa chama chake wanamchora tuu.
2026-08-28 21:59:21
1
luck B :
wew jamaa umeongea ukweli wa mungu kabsa hawa hawa walitusumbua kipind Cha magufuli na Bado wanaendelea kuwadamganya
2026-08-28 14:27:47
5
humble girls001 :
iv kigogo yupo?
2026-08-28 18:58:47
0
allykid :
kweli magufuli ni mtu katili kaukandamiza upinzani watu wasojulikana lisu kupigwa lisasi kawatowa wapinzani bungeni wakati wake wenyeviti wa vitongoji wenyeviti wa serekali za mitaa aliwapitisha bila ya kupigiwa kura nchi nzima kwa udikteta wake
Kosa la mzee wangu alolifany ni kutoa upinzan RIP MZEE
2026-08-28 18:29:55
0
Mahmoud Mzee :
27000 umeme ilikuwa vijjn tu toka wakati wa kikwete.kuhusu mbowe,ztto na kigogo na chadema kwa ujumla wte wanafiki,hawana uzalendo na nchi yao.
2026-08-28 18:24:35
2
polepoletz :
lissu hujamtaja kwann??
2026-08-28 13:04:48
3
Mr Romy :
magufuli alisemwa sana kwa mabaya mengi na alikuwa anajuwa Kuna watu wanamchafua na aliwambiw watanzani wote Kuna siku mtanikumbuka Leo hii kikowapi mnakumbuka hotuba zake yule baba alifanya kazi mnakumbuka COVID nyie iv nikwamb hamjuw yule mzee amefanya nin kweny hii taifa et kweli nimeamin maandiko ya Biblia (Mathayo 13:57) wakenya walitaman hata angekuwa raisi wao ila Tanzania duh🥺
2026-08-28 20:00:00
1
To see more videos from user @mwakagugu_jr, please go to the Tikwm
homepage.