@uhondo.tv: Mbunge wa Jimbo la Geita, Joseph Kasheku maarufu kama Musukuma, amemuomba Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi kutumia nafasi hiyo kufanya kazi kwa bidii na kuwa mfano kwa Vijana, akisema Taifa linaelekea kwenye Uongozi wa kizazi kipya. #UhondoTVUPDATES

Uhondo TV
Uhondo TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 28 August 2026 11:02:47 GMT
149795
6369
40
90

Music

Download

Comments

felisianmsuka399
msuka jr :
kwa nini wasingemchagua msukuma jamn
2026-08-28 13:57:18
14
user8383520996661
twaha :
asante
2026-08-28 20:46:43
0
_shanabackup
S - H -A-N-A 💥 :
kama msukuma amemkubali sis ni kina nan 🔥🔥🔥💯
2026-08-28 11:39:50
7
mahamudu061
mahamudu :
Kwan huyo mtu wawap jaman
2026-08-28 11:33:35
3
faustinabayona
faustinabayona :
tumefika apa ni wapi? jamani mnisaidie
2026-08-28 13:11:52
1
user1794813428197
mti mkavu user1794813428197 :
msukuma 👏👏
2026-08-29 20:52:13
0
user774034403673
jackline :
iv mmesha mchagua kumbe
2026-08-28 12:41:39
2
the.grand34
The Grand :
nacheka sana
2026-08-29 12:28:44
0
isaka18215
Isaka :
🤣🤣🤣🤣Au kucheka nako nikosa kisheria
2026-08-29 06:21:47
1
user6307819485011
JACKLINE :
mbunge kutoka dodma jimbo la chamwin ikulu
2026-08-28 22:34:03
0
johnpo633
msham :
shida ya wa Tanzania 🇹🇿 wanahitaji kiongozi mwenye huruma na anae waongoza sio mwenye umri mdogo wala mkubwa
2026-08-29 13:36:13
0
shehaninzenga
Shehani Nzenga :
nakubali
2026-08-29 11:12:33
0
iroh111ff
IROH FF :
sasa viongozi vijana na wazee hamtaki kuachia nafasi
2026-08-28 21:00:45
1
user3907184015
Emanuela :
Tunakuja kwa neema ya Mungu tupo vijana
2026-08-28 15:36:47
0
user7681276610221
madale042 :
hongera king tunakitrgemea
2026-08-29 11:05:11
0
d.eagle04
D.M.D :
unamsema wasila
2026-08-28 19:22:02
0
user1457699953451
cute 💕💘 :
vijana Mpo Mimi Nagombea ulaisi miaka iyajayo msaidiz wangu naitaji awe msukuma 💕 Wasukuma Mpo
2026-08-29 09:55:38
0
ritter.renatus
Retty🇹🇿 :
upo makini bungeni king🥰
2026-08-29 04:30:24
0
mahamudu061
mahamudu :
bado tumefeli kwakwer
2026-08-28 11:33:03
5
user5336728631358
Simon :
kwenye mapenzi hakuna ujanja, yeyote anaingia humo
2026-08-30 00:25:38
0
dullara5
Dulla2410 :
Msukuma hajawahi kuongea pumba🔥
2026-08-28 20:55:48
2
elia.gabriel3
Elia Gabriel :
Hii nchi hatujawahi kupumzika tangu October 29🤣🤣🤣mara Wema kajifungua,punde si punde Zuchu na baby shower hatujakaa Sawa miaka30 ya Bongo flavour na tunaanza kukaa Sawa Dotto Magari kaathirika,Dotto analeta vipimo kutoka Zanzibar mara Nchimbi anatupanga tudai katiba kabla hatujakubali Wema kawa single mother tunaanza kutaharuki Baba Nchimbi kajiuzulu haya tunaamka asubuhi kumbe CCM walimfukuza huyu Mzee sasa ndio nataka kutulia nakuta mwamposa kaangushabmchawi huko Arusha alikua anatoka bariad kwenda mbeya daaa hii kasheshe nayo Mara gezeti limefungiwa kwa taaarifa isyo lasmi kwamba Nchimbi ajihudhuru na baada ya mda ina kuwa kwel 🤣🤣🤣 Mara mwenekano mpya wa sele yanga mara nabii TITO 🐸🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 SINA WAKILI JAMAN🫣🤣🤣👍 FOLLOW ME 🙏🙏
2026-08-28 11:55:10
3
e.e.16689
E E 16689 :
nawewe vijana wazalendo sio machawa
2026-08-28 11:21:48
0
user3487130838420
nyamwezian maziku :
honger
2026-08-29 17:04:08
0
To see more videos from user @uhondo.tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About