@nuktatanzania: Baada ya kuthibitishwa na Bunge la Tanzania kuwa Makamu wa Rais, Spika wa Bunge, Mussa Zungu, alimpa nafasi Deogratius Ndejembi kuzungumza na kutoa shukrani zake kwa wabunge. Katika hotuba yake, Ndejembi alisema atajitahidi kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kwa unyenyekevu mkubwa, akieleza dhamira yake ya kuwa kiungo kwa Watanzania wote katika kutekeleza majukumu yake mapya.
kunawatu roho inawauma hapo ndugu yetu kupata cheo
2026-08-28 15:54:02
4
Hadahayo :
kwa wanadodoma Asante sana.
2026-08-28 14:34:33
3
Joseph :
kumbe hata mimi naweza teuliwa kwa jitihada zangu
2026-08-28 15:12:10
3
Zawadi :
Hongera cn. 😳😳🥰🥰
2026-08-28 19:52:06
1
Kavemba De Last Born :
Bila kupoteza muda muda kiongozi mweny power, energy na agemate ya ujana amepatikana kulipeleka taifa mbele kwa kumsaidia muheshimiwa Rais🤲
2026-08-28 14:02:18
3
Theo :
act like a bridge to reach all level of population
2026-08-28 19:18:40
0
user693321161544 :
mara paaa ndejemi ni raisi we huogopi
2026-08-28 20:09:35
0
@fodia🥰🥰 :
mmmmh ongera ndugu
2026-08-28 21:08:13
0
Burhani Mahmoud :
Mwenyezi Mungu akuongoze sana Kiongozi wetu Kamsaidie mama yetu vyema katika majukumu yake na pia zaidi Mwenyezi Mungu akuepushe na husda za wali Mwengu.
2026-08-28 18:45:18
1
kibe- wise :
nimemuona kaka makonda 🙏
2026-08-28 14:26:03
1
Jackson Albano :
hongera sana mheshimiwa
2026-08-28 20:09:16
0
user7307477719829 :
hongera sana kwa hatua hii kwa pamoja tulijenge Taifa letu🙏🙏
2026-08-28 14:31:32
0
JAFARI BABAYU :
hapa tuachane nayote tuwasaidie kulije taifa letu
2026-08-28 18:02:44
0
Mary Kessy :
hakika mungu ni mwema nikumbuke na mm mdogo wako hunaga shda kijjana huna shida tusaidie hata kaskaxin
2026-08-28 21:15:21
0
Anna :
huyu ndo rais ajae 🙏🙏🙏🙏🙏
2026-08-28 18:45:36
0
MUNYA EMPIRE :
hongera nyingi kwako mheshimiwa
2026-08-28 17:03:09
1
dydakhaan :
hongera kaka kijana makamo kijana wa magen z katupambanie mpe sapot mama tupate katiba mpya
2026-08-28 20:01:55
0
okoya.okyesa :
unatakiwa usimamie haki nausawa mkuu kama ulivyo kuwa unafanyakazi vizur
2026-08-28 11:37:27
0
deborahmraha439 :
Ameni
2026-08-28 16:54:46
0
Fatuma Mzee :
M/NGU AZIDI KUKUFANYIA WEPESI ISHAALLWA KWA UWEZO WAKE NA AZIDI KUKUPA MWISHO MWEMA LEO MPAKA KWA M/NGU🙏🙏🙏
2026-08-28 14:35:49
0
ole nco las :
hatuchukii watu tunachukia matendo mabaya ya watu naubinafizi wakujimiliksha inchi
2026-08-28 22:08:50
0
madee :
ungemaliza kwa kusema hapa kazi tu
2026-08-28 13:51:02
0
Kweka Sadat :
kaz na utu tunasonga mbele
2026-08-28 16:52:26
0
okoya.okyesa :
hongera sana itumikie Tanzania bila kubagua langi kabila Wala chama asante nikitakie kazi njema
2026-08-28 11:37:27
3
Makame Ally Seneda :
The Sky is the Limit. Uongozi unahitaji Cool and Clear Mind. Ndenjembi umestahili. Watanzania Tumekubali. Hongera!
2026-08-28 14:49:24
2
To see more videos from user @nuktatanzania, please go to the Tikwm
homepage.