@bongo_media: Mwanasheria na Wakili wa Kujitegemea, Leonard Manyama, amesema mpangaji anatakiwa kukaa kwenye nyumba, fremu ya biashara au eneo alilopanga ndani ya muda uliowekwa kwenye mkataba kati yake na mpangishaji. Manyama amesema muda wa mkataba unapokwisha, mpangaji anatakiwa kuomba kuongeza mkataba au kuondoka na kukabidhi eneo kwa mwenye mali. Ameeleza kuwa mpangaji anayeng’ang’ania kuendelea kukaa baada ya mkataba kuisha anachukuliwa kuwa mvamizi na, kwa mujibu wa maelezo yake kuhusu sheria na maamuzi ya Mahakama ya Rufaa Tanzania, anaweza kuondolewa kwenye eneo hilo bila kupewa notisi. Amesisitiza kuwa wapangaji wanapaswa kuheshimu masharti na muda wa mikataba yao ili kuepuka migogoro ya kisheria.
Kwa ufafanuzi zaidi wa kisheria kuhusu masuala ya upangaji, kodi, mikataba na haki za wapangaji au wenye nyumba, wasiliana na Mwanasheria na Wakili wa Kujitegemea, Leonard Manyama, kupitia 0765 405 661.
2026-08-28 15:54:39
0
Maryam Ahmed :
tunaishi kwa kuvumiliana, kutokana na mlivyotuweka huko juu kwa kutubana na makodi yenu
2026-08-28 14:15:20
1
official arinu baby :
mnatuchanganyaaa
2026-08-28 13:23:09
0
hamad :
sawa mbona ungelea haki za mwenye nyumba lkn mm haki zangu kupanga mbona hausemagi
2026-08-28 14:43:15
0
hadija seif :
nitakavyo ondolewa kwa lazima halafu niendee wapi sasa kwa mfano😂😂😂😂😂😂
2026-08-28 14:54:31
0
brack girl💯 :
asiione baba mwenye nyumba yangu😂😂
2026-08-28 14:23:19
1
Dr Luka Mkeni :
kwa hiyo kama mwenye nyumba akiamua kutokukupa mkataba kwa sababu zake mwenyewe kwa nia ya kukufanya mvamizi hii imekaaje!
2026-08-28 15:34:13
0
nuru khalid :
mm nilimgomea mwenyenyumba kuhama sababu nampigia sm nataka nitume ela yy ananiambia usilushe hama nilichofanya nikalusha ela nikamwambia kodi yangu ikiisha ndo nitahama saizi sina mawazo yakuhama ww unaniambia nihame sio kweli
2026-08-28 14:33:20
0
Hisan Jinga :
Kuna watu unaishi nao kistaraa akijidai bingwa namtolea hii video yako
2026-08-28 14:40:47
0
To see more videos from user @bongo_media, please go to the Tikwm
homepage.