@breezt4: Padre George Nzungu: Kwaya nyingi hazijui Malengo yake ni nini, Watunzi Wanatafuta Hela kwa kutoa Single, Hawafanyi Mafungo wamekuwa DRY Kiroho #breezonlinetv #KanisaKatoliki #news #Tanzania #Nairobi #mkombozicommercialbank #BaloziwaAmani #woisooriginalproducts VIDEO SOURCE:Jimbo Kuu la Mwanza | JKM Online tv
kweli kabisa wengine wanaimba kwa sababu ya kushona nguo mpy
2026-09-02 08:26:21
7
master 🥧 :
wacha watu watafute pesa ,
we unajua huwezi elewa hiii shida watu wanapitia mambo mingi sana
kanisa saii atah ni kutoa tu pesa kila wakati na madeni sijui wapi sijui wapi na saio hkn pesa
2026-09-02 10:04:03
5
Emma Malenga :
Fr malengo tunayo na uimbaji ni shughuli kubwa kweli kweli bila pesa haiendi na tukiomba kanisani mnatunyima
2026-09-03 08:22:18
4
Willeysaidi :
Mbona kanisa katoliki linahubiri na bado linafanya Biashara. Mnajenga Mahospitali na mnatutoza waumini kulipa gharama za matibabu kwa nini msitutibu bure? Mnajenga shule halafu mnatulipisha ada?? Kwa nini msiikomboe jamii kwa kuisomesha bure?? Si tunatoa huduma??
2026-09-02 07:19:53
2
constantineanthony :
Mh sawa
natamani wanaowahukumu wanakwaya wangekuwa wanakwaya na wao.
Kwenye masuala mengine kama mpango kazi ni sahihi kabisa.
Kwenye mafungo, kwaya iko chini ya kanisa lakini watu wako tayari kuangalia wapi wanakwaya wanakosea kisha wawakosoe, hawatoi ushauri wala uongozi wa kiroho.
2026-09-02 17:21:48
1
Madili :
Asante MUNGU kwa ujumbe huu,Tunapswa kutumia talanta zetu kujipatia utakatifu na sio sifa za hapa duniani,kwaya ni chombo cha cha kanisa cha uinjilishaji sio band ya muziki,tuimbe kwaajili ya sifa na utukufu wa MUNGU nasio kwaajili yetu,tubaki kwenye misingi na asili ya muziki wa kanisa tusijione bora zaidi,hata shetani alikua malaika wasifa mbingu alipo jiona yeye bora akapata kiburi na kuacha kufuata maagizo ya MUNGU kwa kujiona yeye ndiye anaye stahili kilicho fuata kina julikana,Sifa huleta Majivuno nayo huzaa kiburi kiburi huondoa utii mwisho UASI ,tukipenda sifa tuta jivunia kisha tutakua viburi bila sisi ibada hazinogi hapo utii umeondoka tutajitoa kuhudumu kanisani tuhudumu majukwaani mitandaoni na kwengineko UASI sawa na alivyo fanya Shetani Tuzingatie Kaulimbiu zetu 1TUMUIMBIE BWANA KATIKA ROHO NA KWELI 2 WANAKWAYA HATA MBINGUNI TUTAIMBA HASA TUKIWA WATAKATIFU, tutumie karama vipawa na sauti zetu kumtukuza MUNGU ili tupate kuwa watakatifu
2026-09-03 05:58:28
2
user5957079215839 :
Nikujitolea
2026-09-03 05:19:31
1
josephludovick2 :
nani anasimamia Kwaya? nani ana ufahamu wa Theolojia kuongoza Kwaya? nani anaongoza Mafungo kwa kwaya....huyo ndo hasa aambiwe haya maneno
2026-09-01 15:17:38
2
Prosper24788 :
Janam ametusimanga kwelikweli
2026-09-03 06:30:44
1
Kwaya ya Mt. Maria Goreth :
uishi Miaka Mingi sana Baba
2026-09-02 18:15:55
1
Jack@1987 :
sure
2026-09-02 09:08:36
1
Beltord Libaba :
Mimi sjaelewa nn amemaanisha
2026-09-02 12:46:55
1
GRACEANNA F MAUMBA :
kweli fr,
2026-09-02 16:03:20
1
MadamCheupe🎓RIP ALVIN🕊 :
Mmmh
2026-09-02 11:39:47
1
madeline koku :
Kwa kweli umenikosha
2026-09-01 14:00:06
1
Anastazia Clement :
padre wa parokia ya myamhongolo jimbo katoliki mwanza mungu akutunze uendelee kutupa mafundisho mazuri
2026-09-02 17:51:07
1
Willeysaidi :
Baba padre kuhusu kwaya kutafuta fedha /kufanya biashara umekosea. Mungu ametupa vipaji ili vitufaidishe. Pamoja na kwamba tunaijilisha lazima pia vitulishe.
2026-09-02 07:16:42
2
evalistlazaro :
dahhhhh real
2026-09-02 05:35:48
1
sagwejulius1@user2288479948875 :
Kweli kabisa padre
2026-09-02 07:38:49
1
Lm :
daah wangekua wanaelewa kweli tungebadilika mar moja
2026-09-02 05:16:21
1
kamaucharles5000 :
kweli
2026-09-01 19:30:11
1
Caroline Nick :
kweli kabisa padre
2026-09-03 06:53:25
1
Michael :
Ni kweli father
2026-09-02 21:15:31
1
user3112019065861 :
kwa kweli umenikosha baba sahv wibaj ni ela
2026-09-01 20:26:28
1
To see more videos from user @breezt4, please go to the Tikwm
homepage.