@bongo_media: Mwanasheria na Wakili wa Kujitegemea, Leonard Manyama, amesema mpangaji anayeshindwa kulipa kodi ya nyumba, fremu ya biashara au eneo alilokodisha anaweza kuchukuliwa kuwa mvamizi baada ya kupewa notisi ya siku 30 na kushindwa kulipa deni hilo. Manyama amesema kwa mujibu wa maelezo yake kuhusu Sheria ya Ardhi na maamuzi mbalimbali ya Mahakama ya Rufaa Tanzania, mpangaji anayeshindwa kutekeleza wajibu wake wa kulipa kodi baada ya notisi hiyo, anaweza kuondolewa katika eneo analolitumia. Ameongeza kuwa mpangaji huyo, akishachukuliwa kuwa mvamizi, anaweza kuondolewa bila kupewa notisi nyingine, huku akisisitiza kuwa ulipaji wa kodi ni wajibu wa msingi wa kila mpangaji. Hata hivyo, kwa kuwa hoja hii inahusu haki za wapangaji na taratibu za kuwaondoa kisheria, utekelezaji wake unategemea masharti ya mkataba na sheria husika.
BONGO MEDIA
Region: TZ
Friday 28 August 2026 12:59:39 GMT
Music
Download
Comments
gasama :
No notice required wakili msomi,review recently court of appeal case
2026-08-28 16:02:37
1
Abu nurati :
Ngoja nikafanye vurugu kwa mpangaji wangu duh kila siku sina mara nimefiwa mara Mtoto anaumwa Yani kama umepangisha yatima ni Bora aseme yeye yatima
2026-08-28 17:32:45
0
Kibabake :
That's why we need KATIBA MPYA
2026-08-28 20:33:13
1
🌹🌹Zubeda Alego 🌹 🌹 :
kwaio wAtaka nfukuzwee au
2026-08-28 15:04:12
17
Ms Eve🦋🌹 :
eeh hii mwenye nyumba wangu asione🥺
2026-08-28 15:57:18
32
Sakina juma :
hiii imeendaaa
2026-08-28 15:55:42
1
Dark blue 💙 collection :
Heee we baba
2026-08-28 14:47:59
2
ozge :
hii moja kwa moja kweny status,
2026-08-28 14:55:47
17
Japheth Joseph :
mmmhhh
2026-08-28 15:58:04
2
Joanmary Ajira na Fursa :
kwahio madalali amuwaoni
2026-08-28 19:05:23
3
ELISHA INSTRUCTOR :
wenye nyumba hawataki kuelewa wanatupelekesha mzunguke
2026-08-28 16:01:31
11
nzige boy🏍️🏍️ :
kwanini siku 30? wakati wao wanachukua kodi ya miezi 3?
2026-08-28 17:16:43
6
Mama juma :
Jmn🥺🥺🥺🥺
2026-08-28 15:54:48
2
mussaally :
ni makubaliano Yao banaa weeee tuacheee kidogo
2026-08-28 15:44:58
6
paschal :
Inakuwaje kulipia Kodi miezi 6 afu serikali inaripa mshahara wa mwezi Mmoja
2026-08-28 18:42:36
6
Ramson :
Hii sheria ni kandamizi, hakuna sheria kama hii duniani isipokuwa Tanzania.
2026-08-28 19:57:29
2
LINAH SAMWELI :
kwann wenye nyumba wanadai kodi kuanzia miez 3 wengine had sta ??na nikaz gan mtu anafanya anaeipwa mshahara wamiezi mitatu bila kufanya kaz naomba nahili kuliangalia liwekwe sawa wenye nyumba baadh yao niwanyanyasaji
2026-08-28 16:15:35
6
Mr Thegreatmagic🍾up7 :
mbele ya yote kuna utu, ubinaadam.
Hata tulipo ni kwa neema tu ...na wengi wetu tulio jenga tumeanzia kwenye situation hizohizo
2026-08-28 19:04:58
6
mussa akitoa :
ndomana wa Tanzania wanateseka sana Africa sijajua kwann serekali ya tz haijali mtu maskini maana asilimia kumbwa viongozi wa serekali ndo mmegega hizo nyumba tz lazima mjifunze kwa mataifa mengine bilaiyo ukweli watanzania wanateseka sana Africa
2026-08-28 19:36:41
1
smart_electronics_hub :
kuwa na huruma bro
2026-08-28 17:39:15
2
Mauwa🌹🥀 :
msitusimange
2026-08-28 16:15:36
2
khadija 😍 :
dunia oho ainahuruma
2026-08-28 15:39:10
2
reymerry_Kasemne :
upo sahìhi mh
2026-08-28 15:41:21
2
Mariam Antony :
naomben katiba mpya naona uku manatutesa tusie kuwa na nyumb🙏🙏🙏🙏
2026-08-28 18:27:00
1
Abdallah Miraji :
Ulishasema apewe Notisi Je, akiondoka ndani ya hizo siku 30 sheria hapo inasemaje?
2026-08-28 17:57:43
3
To see more videos from user @bongo_media, please go to the Tikwm
homepage.