@breezt4: Padre George Nzungu kutoka Jimbo kuu la Mwanza anasema miongoni mwa Changamoto kubwa inayowakabili Wanakwaya wengi Umaskini "Wanakwaya wengi ni Masikini sana,Wakikosa Chakula kwenye Sherehe wanalalamika" #breezonlinetv #KanisaKatoliki #news #Tanzania #Nairobi #mkombozicommercialbank #BaloziwaAmani #woisooriginalproducts VIDEO SOURCE:Jimbo Kuu la Mwanza | JKM Online tv