@30829749745hihi: Tha.m q.u.a.n tí#superdream #dreamthai #dream54 #dreamkieng #xuhuong

MH tires
MH tires
Open In TikTok:
Region: VN
Friday 28 August 2026 13:04:12 GMT
7876
617
5
30

Music

Download

Comments

vannhat2278
VanNhatt :
Dream đời gì v a
2026-08-29 18:08:04
0
phuocanh2206
Anh Phước :
ở long khánh a dyno tiệm nào v a
2026-08-28 14:02:44
0
ronalbo203
bis :
54 redleo hả a🥰
2026-08-28 14:35:42
0
ngocthong7494322a
💋 Ngọc Thông 💋 :
Cùng đam mê 🌹
2026-08-29 01:32:13
0
hoangdaklak
hoangdaklak :
🥰🥰
2026-08-29 16:36:09
0
To see more videos from user @30829749745hihi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ameagiza Jeshi la Polisi kuwanyang'anya silaha watu wanaozitumia kama mapambo au kujionyesha hadharani, akisema kitendo hicho kinaweza kuhatarisha usalama wao na jamii kwa ujumla. Katambi ametoa agizo hilo leo, Agosti 31, 2026, jijini Dodoma, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Msamaha wa Usalimishaji wa Silaha Haramu kwa Hiari 2026, ambapo amesisitiza kuwa silaha hazipaswi kumilikiwa kwa ajili ya kutafuta sifa au kuonyesha uwezo katika jamii. Waziri Katambi amesema baadhi ya vijana wamekuwa na tabia ya kuonyesha silaha zao katika maeneo ya starehe, ikiwemo kuzitoa na kuziweka mezani wanapokuwa baa, hali ambayo amesema inaweza kuwavutia watu wenye nia ya kuzichukua na kuzitumia kwa madhara.
VIDEO: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ameagiza Jeshi la Polisi kuwanyang'anya silaha watu wanaozitumia kama mapambo au kujionyesha hadharani, akisema kitendo hicho kinaweza kuhatarisha usalama wao na jamii kwa ujumla. Katambi ametoa agizo hilo leo, Agosti 31, 2026, jijini Dodoma, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Msamaha wa Usalimishaji wa Silaha Haramu kwa Hiari 2026, ambapo amesisitiza kuwa silaha hazipaswi kumilikiwa kwa ajili ya kutafuta sifa au kuonyesha uwezo katika jamii. Waziri Katambi amesema baadhi ya vijana wamekuwa na tabia ya kuonyesha silaha zao katika maeneo ya starehe, ikiwemo kuzitoa na kuziweka mezani wanapokuwa baa, hali ambayo amesema inaweza kuwavutia watu wenye nia ya kuzichukua na kuzitumia kwa madhara. "Sasa hatumiliki silaha kwa fashion. Tunamiliki silaha palipo na matishio ya usalama," amesema. Akizungumzia kauli ya Dotto Magari kuhusu umiliki wa silaha, ya kusema "na hapa ipo", Katambi amesema kauli hiyo inaweza kuwapotosha watu na kuwaingiza katika mazingira hatarishi, akisisitiza kuwa kumiliki silaha si jambo la kujivunia wala njia ya kutafuta umaarufu katika jamii. "Kumekuwa na wimbi fulanj la vijana hata yule ambaye hana matishio, ule msemo wa Dotto Magari wa kusema na hapa ipo, kitendo cha kusema na hapa ipo, Kamanda wa jeshi la polisi IGP utawapa maelekezo", Amesema Waziri katambi Katambi amesema raia wanaomiliki silaha wanapaswa kuzingatia masharti na taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria, huku akieleza kuwa wanaoruhusiwa kubaki na silaha ni wale wanaokidhi matakwa ya kisheria. Amesema serikali haitaruhusu silaha kutumiwa kwa mtindo wa 'fashion' au kama nyenzo ya kujionyesha mbele ya jamii.

About