@nijuzenews: Prof Shivji: ‘Napendekeza tuwe na katiba ya mpito kwa kurekebisha katiba iliyopo’ Subscribe kwenye YouTube Channel yetu kwa habari motomoto>>> https://www.youtube.com/@NijuzeNews Subscribe kwenye WhatsApp Channel yetu>>>‎ https://whatsapp.com/channel/0029Vb6s4M91NCrctJX2YG2u

Nijuze
Nijuze
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 28 August 2026 13:13:10 GMT
8797
521
23
31

Music

Download

Comments

user6679515038249
thobias :
Well said. live long Prof Issa Shivji
2026-08-28 14:32:03
1
certified.pasha
certified pasha :
Yan ivo unavosema shida ni kwamba viongozi waliopo madarakani wao ndio wahusika wakuu mfano mahakama huru ya kuchukuza na kuukumu kuhusu October 29 wanaogopa na awatakubar..mfano raisi mwenyewe ndo mshtakiwa mkubwa ye ndo muuaji apo awez kubal
2026-08-28 13:46:13
8
abduely3
Abduely :
kweli kabsa uishi milele
2026-08-28 13:25:07
5
cleaner8669
Luxvanny :
mzee katika point muhimu sana👋👋👋
2026-08-28 13:25:23
4
jmm123333
Konzi Jr :
Hayo yote aliyosema mzee shivji ni maelekezo ya wazungu
2026-08-28 15:16:13
1
rogatus.rwamlema
Rogatus Rwamlema :
CCM UMEWAHUSISHA MZEE MAANA WAO NDIYO KATIBA ,UKILETA KATIBA NYINGINE UNAOOOOO
2026-08-28 15:09:38
1
balakatzstephan77
Balaka Tz Stephan :
wazee wa busara kama hawa ni hazina kubwa sana
2026-08-28 13:31:40
4
khajjiahmed
khajjiahmed :
hii ndo azina ya nchi yetu
2026-08-28 13:20:02
4
t555dpt
DPT :
kuna watu hawapendi kusikia hvyo😂
2026-08-28 14:40:41
1
amanimahmuudmrish
AMANI MAHMUD :
katiba itaundwa na Raisi Samia kwahilo atalitekeleza
2026-08-28 16:11:02
0
seif.kabelele
Seif Kabelele :
SAFI. SAFI. SANA
2026-08-28 15:47:14
0
mwanawaselemala
Tan seven :
tunataka katiba Mpya mzeee unatuchanganya
2026-08-28 15:26:10
0
petro.julius
Petro Julius :
pameanza kuchangamka mimi naomba hili liwe glup lakudai haki kila wiki duniani wasikie ipaze sauti
2026-08-28 15:38:09
0
elibariki937
elibariki :
kwani mulikuwa wapi wesee wetu
2026-08-28 14:34:51
0
enock.makoga
Enock Makoga :
tuliuliwa huo ndio ukweli hasa
2026-08-28 15:34:37
0
joventjohansenmushwaimi
Jovent Mugisha Mushwaimi :
Naam mawazo mazuri sana
2026-08-28 15:20:05
0
semwa.4
Sure1 :
Kuna Mahali sijaelewa:Katiba ya Mpito iseme Walioshtakiwa kwa Ugaidi na Uhaini Waachiliwe huru. Hiyo Katiba itatumika kwa Kipindi gani?, Ikiwa wataachiwa wanaoshikiliwa sasa, vipi wakijitokeza wenginne kufanya vitendo hivyo?, hawatachukuliwa hatua?. Hapo ndipo utagundua kuwa hata huu Mjadala ni wa Kisiasa wala sio hitajio la Wananchi.
2026-08-28 15:53:52
0
vaps49
vaps49 :
Mzee una hoja nzito lakini nani wa kuzitekeleza? Bunge lake, Serikali yake, Dola na vyombo usalama vyake??
2026-08-28 15:26:47
0
godfrey.gumie
Godfrey Gumie :
upo sawa
2026-08-28 16:18:39
0
faithalphonce8
Faith :
hiyo katiba ya mpito impunguzie muheshimiwa majukumu ya uteuzi na pia kuwe na kipengele cha viongozi kuwajibishwa wanapokosea. wawe wanashitakika na kuwajibishwa
2026-08-28 16:27:18
0
fransisconkuyumba
fransisconkuyumba :
HAKIKA itawezekana
2026-08-28 15:18:04
0
headmasterg
Uncle Pastuzo :
moto moto
2026-08-28 14:45:31
0
ngalalumba1
Boy Man :
sasa wahusika wapo ikulu na mapollice waliouwa wako.makazini
2026-08-28 14:40:10
0
witnessjoseph79
Witness Joseph :
haraka ipo mzee
2026-08-28 14:40:05
0
abdul.mhina.mgosi
Abdul Mhina Mgosi :
Hawa wazee wana akili sana
2026-08-28 14:36:52
2
To see more videos from user @nijuzenews, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About