@jukwaa.la.maarifa: Dkt Sheikh Abdulrazak Amir Amesema Si Vyema Kwa Mwanamke Kila Wakati Ukigombana Na Mkeo Akidai talaka Na Wewe Unatoa Talaka Si Jambo Jema na Jambo Zuri Kila Wakati Unapoombwa Talaka na Wewe Unatoa Sababu Kwa Kiasi Kikubwa Umelazimishwa Kutoa talaka Kudai na Kutoa talaka si jambo Ambalo linapendeza Kufanyika mara kwa mara sababu kila mtu Anachangamoto zake na Sehemu Pekee ya Kurekebisha izo changamoto ni kuhakikisha Wewe Kama Mume Usitoa Talaka kila Wakati Mkeo Anapoomba Sababu Anayedai talaka akipewa tapaka anaweza Kua Akujiandaa Kupewa Talaka Na Anayetoa talaka naye Akua Amejipanga Kuitoa iyo talaka ivyo Lazima Maamuzi yafanyike Kwa Busara Katika Maamuzi ya Utolewaji Wa Talaka

JUKWAA  LA MAARIFA🕌
JUKWAA LA MAARIFA🕌
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 28 August 2026 14:12:00 GMT
4595
273
3
34

Music

Download

Comments

mahir_2025
Maahir Abou :
Aah kuna mda naitaman ndoa ila ukiyaona ya wanandoa, nachoka mimi, Allah atufanyie wepesi kila penye uzito pawe na wepesi 🙏
2026-08-28 16:05:43
1
To see more videos from user @jukwaa.la.maarifa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About