@usermusmart: Musmart #princetoney🥰🥰🥰🥰🥰🥰

Musmart(baba mchungaji)
Musmart(baba mchungaji)
Open In TikTok:
Region: KE
Friday 28 August 2026 16:55:56 GMT
14152
1884
47
145

Music

Download

Comments

charlinekikomibwa
charlinekikomibwa :
Biblia inajaa na ma contradiction menyi. tuiache sisi wa Africa
2026-08-29 13:54:31
2
pasteur.emmanuel740
pasteur emmanuel :
Mathayo 27 34 wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.
2026-08-29 09:38:49
1
yohanasevelini
Yohana Sevelini287 :
2026-08-28 19:54:51
4
its.me.big.m
It's me Big M :
Maandiko mengine hayatumiki sana kwa sababu yaliandikwa kulingana na wakati na mahali, tukiangalia the meaning context ya timothy 5 23 maji hayakua salama kwa matumbo ya watu wa timotheo mpaka yatibiwe so pombe ilitumika kama water treatment ama medicine 👉 The Purpose: In the ancient world, water was often unsafe to drink. Wine was used as medicine to purify bad water and help with digestion. [1, 2, 3, 4, 5]
2026-08-30 04:59:55
0
kitengeigula
Kitenge Igula :
pia mhubiri9:7. YEREMIA 27:25
2026-08-28 20:34:00
1
bakuluti_2233
abubakarysoud :
kula na kunywa inaamnisha kileo ???
2026-08-29 13:40:36
1
user8312476367738
issa manota :
tuonyeshe andiko linalomsema Yesu amelewa
2026-08-30 18:18:59
0
rejinal173
rejinal :
hiyoni 5/5
2026-08-29 23:35:17
0
yohanasevelini
Yohana Sevelini287 :
soma hiyo
2026-08-28 19:55:05
1
pasteur.emmanuel740
pasteur emmanuel :
naukuwe makini sana unapo soma biblia
2026-08-29 14:22:48
1
kevoh.sifuna
JOMBAH SIFUNA :
vitabu za walevi😂🤭
2026-08-29 05:19:13
2
user1184331537298
user1184331537298katumongotho :
ukishaa kunywa pombe,utasuiya kulewa na nini.???.
2026-08-28 17:38:07
0
user3131972097843
JEREMIAH :
hizo pombe sio zenye ziko saisi
2026-09-02 08:07:00
0
samuel.michuki1
Samuel Michuki :
kulwewa lazima hahah 😅😅😅😅😅😅😅😅
2026-08-28 17:10:01
0
pasteur.emmanuel740
pasteur emmanuel :
Ona ndungu usidanganye watu kupitiya mandiko nisha tuma mandiko someni nyini wote yesu kristo alikunywa divai isiyo changanika kitu tazama walipo mpa iliyochanganika alikataa soma apoMathayo 27 34 wakampa kunywa divai iliyochanganyika na nyongo; lakini yeye alipoionja hakutaka kunywa.soma tena👉1 Wakorintho 6 9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
2026-08-29 09:47:40
0
sir.hepson
Sir Hepson :
Pombe si mbaya ni pastors hujifanya kuwa na holy spirit sana.
2026-08-29 14:41:44
2
mtumish1
mtumish-Wafula :
a day will vome, you will be converted like Paul who waas worst when he was Saul
2026-09-01 18:31:21
0
pasteur.emmanuel740
pasteur emmanuel :
1 Wakorintho 6 9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
2026-08-29 09:38:34
0
jamesmwirigi7
james mwirigi :
na sio mungeii 😂
2026-08-29 09:10:00
0
user361051240661
MASIKA@001 :
wewe unapoteza wanaokufata
2026-09-01 10:23:51
0
jetff09
Jeffrey :
kuna tofauti ya pombe na divai
2026-08-29 15:27:51
0
princetoney001
Prince Toney the 5th :
😂
2026-08-28 18:33:53
1
liwaezaliboso
Liwa eza liboso :
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2026-08-29 04:22:48
0
To see more videos from user @usermusmart, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About