hi mamaa..I have a prophecy to some women..but I fear saying it
2026-08-29 03:47:21
1
Kitty's josy :
niliingia kwa plot moja nikitafuta rental house wee acha landlord and landlady wagombane
2026-08-28 17:33:02
0
D.C.I loladze :
hii happened when I was school
2026-08-28 18:17:19
1
givenmlelwa79 :
yes yes
2026-08-28 18:56:56
1
angel franc34 :
wale wa jina lako likitajwa watu wanavurugwa mko wap 😅
2026-08-29 04:15:52
1
𝘔𝘖𝘔𝘠 𝘎𝘌𝘕𝘌𝘚𝘐𝘚 🇰🇪 :
nilishawahi enda sehemu kununua mihogo ya mia 200 miwili na chai 200 Chai jamani ile nimekula nimemaliza watu walikuja kama kumbi kumbi nikawa nawapisha wakae nilikua namsubilia mtu hapo yule mama kasema apana we kaa tu watakaa kule upande wapili nikasema me nishakula sasa wakae tu akaogoma nikatumia nguvu kutoka pale jamani mmmmmmh nikashangaa sana niendelee kukaa ili iwaje siku muelewa kabisa kupitia dada etu kipenzi nimeelewaa sasa
2026-08-29 08:10:32
1
Lizzie muhanza stylish👗👘🥻🩱 :
nilijua mikosi🤣
2026-08-28 17:31:34
1
didaah40 :
kuna siku mama wa mbonga asubahi anauza muhongo nikamuita nikanunuwa basi yule mama alikuja tena siku ya pili yuwaniambia ninunuwe tena maana jana aliuza akamaliza mapema biashara
2026-08-28 18:59:16
2
millionaire💃 :
ni ukweli mtupu ,mi pekee yangu nimezimiwa stima kwa the whole plot Hadi nashangaa hakuna mainge plot mzima😌😌😌
2026-08-28 19:32:32
1
Mgeni J Mgeni :
Hiyo ya Dukani na Kuinuka Mtu kwenye siti ninayo sana au wale wanga nini
2026-08-29 02:25:28
1
jaymo :
yani uyo ni mimi sjuw nifanyenini
2026-08-28 18:54:40
1
liz astagy # 🇰🇪🇰🇪 :
ni ukweli kabisa
2026-08-28 20:24:18
1
MPENDWA WA BWANA :
kabisaaaaa
2026-08-28 17:33:04
1
Emily :
naona Sana hiyo
2026-08-28 18:14:36
1
Jameson Mpesa :
Ukweli mm niliandimwa kwa kampuni nilikua waiter nikiingia kazi customer wanajaa sana
2026-08-28 20:31:47
1
Da mamu :
Ilishawai kutokea mpenzi wangu akaniambia tangu niwe na ww napata pesa
2026-08-28 18:17:33
1
Paulina Likiliwike :
kweli kajisa
2026-08-28 17:45:25
1
june :
Yani dada kuna muda mwingine unakuta watu wananigombania why
2026-08-29 12:01:06
1
user7797702411134 :
Mimi nilikuwa najishangaa kila nilienda kwenye maduka au saloon hata kama hakukuwa na mteja lazima wateja wake wengine
2026-08-29 11:37:27
1
PERMACULTURE PRINCIPLES :
jamani mkukutana Devotta hajaolewa niambieni napanda Sana Jina Devotta awe mke wangu
2026-08-29 10:17:42
1
user1356658514814 :
it happens to me several times
2026-08-28 18:21:36
1
Akida Amina :
Iyo Nisa a kwangu mpaka najiuliza
2026-08-28 18:16:18
1
Saimon Mbwelwa :
upo sahihi sana dada
2026-08-28 18:16:12
0
To see more videos from user @devotajs, please go to the Tikwm
homepage.