Mimi tu ukiniambia bei kubwa ata kama nina uhitaji wa kitu naachaa nakuacha na bei yakoo mwanetu😂
2026-08-29 06:46:44
4
Aweso Mohamed :
ye mwenyewe ana shida alitakiwa aulize bei kabla hajapata huduma maama kina vitu ni huria havina bei elekezi ndio mana soda ya 600 Kuna sehemu wanauza 3000 na hakuna kelele, usiende na bei yako kwenye biashara ya mwenzako
2026-08-29 06:02:55
5
mazdagarages :
Huyu dada DNA moja na mimi😂😂😂😂😂
2026-08-29 05:52:13
4
Baba 3smah tz🇹🇿 :
tamaa zimemponza
2026-08-29 04:47:33
5
NAPAH :
kwetu pancha af3 sehem zingine af5 na upepo sehem nyingine buku sehem nyingine 2k
2026-08-29 04:41:21
6
George magari mwanza TZ🇹🇿 :
jamani mmh Jana mwenyewe uck yamenikuta kusafisha rim ilikuw na mchanga nikaombwa elf 15 khaa jmn shida ndugu zetu wakituona na magari wanajua kila siku tuko na hela jmn 😭😭
2026-08-29 04:57:55
9
Binti Hustler :
Very nice , napenda watu ambao hawapendi kuonewa hata kama tunatafuta riziki muwe realistic kidogo. And also muwe unauliza bei kbla ya huduma kuuanza kuepuka haya😌
2026-08-29 05:12:31
2
wardaissa399 :
Yaan ni elf 5 tuu haizid
2026-08-29 07:23:44
0
user8839214472774 :
sasa kama gari lako ni la milioni 80 utazibiwa je na elfu 5000
2026-08-29 05:27:25
0
Isaya Kyando :
alafu pia tambi sio zur kuweka kwenye gari Ako nivyema azibe kwa kuweka kilaka kwa usalama zaid
2026-08-29 01:52:32
3
🫦golden girl🫦 :
wanatuchukuliaje yaan kwan mm najua had kufanya service gari yangu😂😂😂
2026-08-29 06:15:43
0
Anjelo Jr :
mi ningetoa tambi zangu🙌🙌
2026-08-29 04:53:58
2
Minah 🍫🍫 :
Zuu 😂
2026-08-29 03:51:36
1
Jack :
Shida ya hawa watu bwana wanakupa bei kulingana na mwonekano aisee mm sibishanagi nampa hela ninayotoaga siku zote
2026-08-29 06:38:08
0
unknown3rror :
huyu sasa ndo dada mpambanaji sio wale wa " ugali sijui"
2026-08-29 05:51:11
1
NADO auto GARAGE. MYUMBO,, :
imekuponza nembo dada 🤣🤣🤣🤣
2026-08-29 05:45:00
1
To see more videos from user @street_icon_media, please go to the Tikwm
homepage.