Bora uumizwe na mapenzi kuliko kuumizwa na matukio ya nchi
2026-08-29 11:59:48
13
God is good :
pesa zipo benk
2026-08-29 10:24:22
3
kappie 🥰 :
at the end of the day mtakuwa mnalalamikia serikali ila watu ambao hata hamuwadhanii ndio wanatufelisha,million 600 mtu kapewa hajafanya lolote ila serikali imetoa pesa ya kujenga bwawa
2026-08-29 08:59:05
13
M.G :
kweli hii inchi una wauni sana
2026-08-29 08:39:55
9
cafro5 :
nchi gani hii kwani?
2026-08-29 11:12:14
2
Victoria Ngokwe :
pesa iko back
2026-08-29 09:57:52
3
Mr Naibu :
Ila bongo jau sana😂🤣
2026-08-29 13:18:05
2
user7213958188182 :
hawa watu ndio wanaifanya serikali inaonekana mbaya kwa wanachi kumbe wananchi wekipewa nyazifa wanakula pesa
2026-08-29 10:13:50
5
Beatha seleman :
si ili jmn🤣
2026-08-29 10:28:49
2
KAMBARE WA NCHIKAVU🚛 :
nashindwa kuerewa
2026-08-29 09:41:01
2
martinez :
hapa ni wapi😂
2026-08-29 09:44:10
4
marrykingi :
hongera mheshimiwa kazi nzuri
2026-08-29 09:55:01
3
am_awe :
Naitwa magembe muuzaji maarufu wa mahadiwea😅
2026-08-29 13:07:37
1
Petro Julius :
watwo wanachezea hela zetwo jamani aaaf katiba tukidai mnatuuwa kwwe haya ona ccm mnafanya kazi gani
2026-08-29 15:41:07
0
To see more videos from user @babachanja01, please go to the Tikwm
homepage.