@bbcnewsswahili: Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemuasa makamu mpya wa rais wa nchi hiyo Deogratius Ndejembi kutumikia taifa kwa utii na kuwa cheo ni dhamana. ameyasema hayo wakati wa hafla ya uapisho uliofanyika Ikulu ya chamwino huko Dodoma. - - #bbcswahili #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #foryou #siasa #fyp

bbcnewsswahili
bbcnewsswahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 29 August 2026 06:45:10 GMT
105688
6228
137
93

Music

Download

Comments

fransisconkuyumba
fransisconkuyumba :
Watanzania Pambaneni mpate KATIBA mpya
2026-08-29 07:42:56
133
user9112618140161
Grace raph :
natamani katiba ingesema makamu ateuliwe na kura za wananchi ingekuwa pw sana maana apo atujui kama nae ni walewale
2026-08-29 08:07:38
33
patricias384
patrisha :
watanzania Mungu atutetee
2026-08-29 08:17:45
16
widege.filimon
Widege filimon :
hiii nchiiii ina mambo mingiiii sanaaa
2026-08-29 06:56:58
9
mbappe_khani
mbappe khan :
kwanza nakaa chumba na sebure tu mwanasheria ntamlipa nn nikae tu kmy
2026-08-29 07:52:02
13
btchofyet
sweetie :
usituletee mambo ya Karume ndani ya Taifa letu
2026-08-29 12:30:35
2
japhary716
JAPHARY :
So huyu Tunajua Hatatuambia chochote kuhusu KATIBA 😁
2026-08-29 09:02:46
3
moonation1
Mods Dickson☑️ :
ipo siku
2026-08-29 07:23:18
4
user6383333100447
user6383333100447 :
Mweshimiwa Rais kata mti panda mti kazi iendeleee tujenge Tanzania yetu
2026-08-29 10:12:44
2
salmanfastest
team Tz :
tupo pamoja na mama samia oyeee ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
2026-08-29 07:18:07
11
shukulanjuliusins
malume boy :
samia samia samia mungu anakuona
2026-08-29 10:34:52
2
ntemi_dash
user9292163505867 :
Inaonekana makamu wa rais atakuwa kivuli tu
2026-08-29 10:01:31
3
kulty44
kulty :
🥰🥰🥰mama wetu Allah akulinde na akupe afya na umri mrefu wenye kheri ameen🥰🥰🥰
2026-08-29 09:25:14
3
hon.gabrielmushi
HON. GABRIEL MUSHI :
Alisema "Nawasihi Pambaneni Mpate Katiba Mpyaaa Katiba Iliyopo Ni Raisi Mbinafsi Ndio Anaweza Kuing'ang'ania Mama Yetu Mwenyewe Anataka Mpate Katiba Mpyaaa" ... MH NCHIMBI MAKAMU WA RAISI ALIYECHAGULIWA NA WANANCHI MWAKA 2025 .
2026-08-29 08:45:35
5
afredtibakula
afred tibakula :
mbon anatishwa duh
2026-08-29 10:37:14
1
sammimi66
SAM~66 🦁✌️ :
mwanasheria wangu anaumwa acha nikae kimya
2026-08-29 07:37:23
3
abdallahmsham587
Abdallah Msham :
iv tangu bunge lianze january mbak leo walishawai goma pitisha jambo gan la rais au wapo tu
2026-08-29 11:48:18
0
dads8daughter_
Tanzania 🇹🇿 Nchi Yangu :
Hongera na pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi na busara ya kumchagua Mheshimiwa Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uteuzi huu unaonesha imani, hekima na dhamira ya kuimarisha uongozi, umoja, mshikamano na maendeleo ya Taifa. Tunawatakia viongozi wetu nguvu, hekima na mafanikio katika kulitumikia Taifa kwa uadilifu na uzalendo. 🇹🇿👏❤️
2026-08-29 10:23:12
2
user88393843170207
Makungu :
Sawa Mwanetu
2026-08-29 07:20:25
3
user2934902681312
kibuga devota :
watanzania Mungu atutetee tupate katiba
2026-08-29 09:18:36
1
dumbibtz
dumbi tz :
makamo rasmi sasa katutumikie watanzania
2026-08-29 07:08:30
4
itisve17
AFRICAN PRADO 🫡 :
mwanaetu😂😂
2026-08-29 07:20:51
3
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About