@ngasatvdodoma: ROYAL V SAFARI YAREJEA NA MABASI MAPYA YA KISASA Dodoma: Kampuni ya usafirishaji ya Royal Village Safari, inayotokana na Royal Village Hotels, imetangaza kurejea rasmi katika sekta ya usafirishaji ikiwa na mabasi mapya ya kifahari na huduma za kisasa. Akizungumza kuhusu ujio huo, Boss @melekh_said wa kampuni amesema Royal V Safari si kampuni mpya kabisa, kwani awali walikuwa wakifanya shughuli za usafirishaji kupitia mabasi yaliyokuwa yakijulikana kama Shatco. Amesema tofauti kubwa kwa sasa ni maboresho makubwa yaliyofanyika, ikiwemo ununuzi wa mabasi mapya yenye huduma za kisasa. «“Sasa tumenunua magari mapya kabisa, full luxury. Yana AC, TV, choo, Wi-Fi na cameras. Kwa hiyo mtu akiingia ndani anapata kitu tofauti kabisa na mwanzo,” amesema.» Kwa mujibu wa kampuni hiyo, safari zimeanza huku wakipokea maoni kutoka kwa wananchi waliokuwa wakitaka kujua njia ambazo mabasi hayo yatapita. Kwa awamu ya kwanza, Royal V Safari itahudumia njia zifuatazo: - Kiomboi – Dar es Salaam - Dar es Salaam – Kiomboi - Singida – Dar es Salaam - Dar es Salaam – Singida - Kiomboi – Rombo - Singida – Rombo Kwa upande wa Singida, kampuni imeeleza kuwa kutakuwa na mabasi ya mchana, alfajiri na jioni, huku safari za Kiomboi zikiwa zimepangwa zaidi wakati wa jioni. Kampuni hiyo imeahidi kuendelea kuboresha huduma na kuongeza njia nyingine kadri shughuli zitakavyoendelea. @royalvsafari @melekh_said

Ngasatvdodoma
Ngasatvdodoma
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 29 August 2026 07:44:01 GMT
65110
2405
87
104

Music

Download

Comments

user2825830284533
silayomagarina simu used :
rombo once again
2026-08-29 17:16:33
1
255kingsellatz.com
KING SELLA TZ :
shatco one ✨
2026-08-29 18:53:32
0
aisha.abdull3
Aisha Abdull :
Inabidi uweke soft blankets my boss
2026-08-29 14:06:47
0
sadajuma438
SADA JUMA :
hongera sana boss wangu haya ndo maendeleo
2026-08-30 09:21:04
2
gloryalfred6
glory Alfred :
weeeeeeeweeer
2026-08-29 15:30:34
0
jedbil05
jedbil05 :
shatco
2026-08-29 14:33:31
0
clistinamalinjaga
Clistina Malinjaga :
naomba kujua, SHABIBY, SATCO NA SHATCO hawa ni ndugu?
2026-08-30 05:20:06
1
mohamedy.muya
mohamedy muya :
Shabibi mdogo yuleeeee
2026-08-30 02:30:38
0
josephlyakurwa83
baba_charity :
Wilaya ya Rombo ina basi nyingi kuliko baadhi ya mikoa kwa ujumla aisee
2026-08-29 19:47:00
3
user7035851838335
smart boy 06 :
tupeni na sisi moja kondoa masange to DSM
2026-08-29 15:21:36
2
annaleshas
annalesha's😈 Collection1💜 :
jaman c muanzie Manyon mbona mnatutesa
2026-08-29 14:52:18
3
gairo_icon
Mwarabu :
mbna hyo ni wa Gairo mkoa wa mororgor ndgu shabiby
2026-08-29 18:35:21
1
issa_fund
issa tz :
shatiko na shatiko nitofaut
2026-08-29 14:48:19
0
amirimnkombe
Amiri Mnkombe :
mbona kama ni ndugu na shabibi?
2026-08-29 19:20:20
0
joany2683
joany :
kwa hiyo SATCO hazitakuwepo Tena?
2026-08-29 15:38:24
0
shaibu.hamisi0
Shaibu Hamisi :
🙏 ametusikiliza kilio chetu wana singida nashukuru sana 🥰🥰🥰
2026-08-29 20:51:26
1
user44755607875137
user44755607875137 :
toweninajira
2026-08-29 12:37:20
0
japhetmussa568h
wamigombani jr :
leta musoma to dar
2026-08-29 07:49:27
2
abdul.sasha
Abdul sasha :
warombo tumefikia sasa sio ngasere tena na Shabiby🥰
2026-08-29 17:14:07
1
kingdull_47
Kingdull$_47 :
Naomba ruti ya mahenge moro hakuna gari huku
2026-08-29 15:32:38
1
xlookup31
Tech Master 🛠 :
Hivi Rombo hua kuna ninibmagari mengi sana yanaenda iyo njia 🤔
2026-08-29 15:25:05
1
shaibu.hamisi0
Shaibu Hamisi :
mm ntakusapoti sana 🥰🥰
2026-08-29 20:52:23
1
chaggeboy6
sweet mangi👑 :
karibu sana 🫵
2026-08-30 07:48:08
0
user1496699165129
ridax🇯🇲🍀☘️safi🍀 :
namba kaz
2026-08-30 10:40:24
0
To see more videos from user @ngasatvdodoma, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About