@machingatvtz: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza sababu ya nafasi ya Makamu wa Rais kuendelea kupewa kizazi cha vijana, akisisitiza umuhimu wa viongozi vijana kukua katika fikra, busara na uwezo wa kufanya maamuzi. Akizungumza baada ya kuapishwa kwa Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, Rais Samia amesema uamuzi huo unalenga kutoa nafasi kwa vijana huku viongozi wenye uzoefu wakiendelea kuwa walezi wao. “Tuliamua nafasi tuirudishe kwa vijana na tuendelee kulea. Imetoka kwa kijana, tumeirudisha kwa kijana. Sasa kijana tukuombe ukakue, si kwa umri, ukakue akili, usiwe samaki,” amesema Rais Samia. Kauli hiyo imelenga kumhimiza Ndejembi kutumia nafasi hiyo kujijenga zaidi kiuongozi, kupata uzoefu na kutekeleza majukumu yake kwa busara na maslahi ya Taifa.

Machingatv
Machingatv
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 29 August 2026 08:10:46 GMT
110768
1348
19
39

Music

Download

Comments

user9034320503061
user9034320503061 :
mhmhhh
2026-08-30 13:51:46
0
mzungumweusi66
Mzungu Mweusi. :
Naona wameamua kumteua mtu watakae mkontrol wanavyotaka
2026-08-30 11:26:08
3
sadajuma438
SADA JUMA :
mama ww ni mtu na nusu tunakupenda sana mama Samia 🙏🙏🙏
2026-08-30 10:02:30
3
abdulwahid198017
Abdulwahid :
big up mama
2026-08-29 11:42:39
1
ruthiukas
ruthiukas :
hakunaaa
2026-08-31 15:32:43
0
user7010125962781
user7010125962781 :
ipo siku aminaaaaaaaaa
2026-08-29 20:36:44
2
mwinyi.foum
Mwinyi Foum :
Mumefanya kitu kizuri kuwapa vijana nafasi, wazee wakivurugwa na mambo wanayavuruga.
2026-08-31 18:35:57
0
wamushadi11
wamushadi11 :
mama kazi iendeleee
2026-08-29 14:25:22
1
poo84017
devis kogota :
mama naomba ela yavocha
2026-08-30 20:04:32
0
user81044792092442
JATA EKEYA :
kazi itaenderea
2026-08-29 14:50:08
1
zakariasamsoni0
zakaria samson :
hadi raha jaman
2026-08-30 14:43:31
0
user1651005210459
mukomboz mwiula :
napta
2026-08-29 10:36:08
1
aneth.manonga
Aneth Manonga :
oooh matusi ni mengi
2026-08-30 07:09:04
0
hassanhabui
Hassan habui :
mungu akulinde
2026-08-30 15:58:03
0
phinimars
Phini mars :
kwa mujibu wa katiba imetufikisha hapa
2026-08-29 08:43:37
0
sadajuma438
SADA JUMA :
kazi endeleeee mama hongera sana
2026-08-30 10:01:17
0
felestiantz
felestiantz :
🥰😏😏😁 kazinautu tunasogambele napenda ujasili wa samia siomwanamuke wakutisha nawatu wapigakelele kwaguu ojasiojisiaa
2026-08-30 17:47:39
0
mama_tiiiii
Mama t :
MAMA SAMIA MTU NA NUSU
2026-08-31 11:20:49
0
user5247997545880
[email protected] :
🥰🥰
2026-08-29 10:13:15
0
To see more videos from user @machingatvtz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About