@lexuantri1222: #ngothoinhiemschool #ngothoinhiembinhtan #viral #ntn

Xuân Trí
Xuân Trí
Open In TikTok:
Region: VN
Saturday 29 August 2026 09:21:31 GMT
75753
8155
138
2826

Music

Download

Comments

botdinha123
Tan Phat :
điều kiện gia nhập
2026-08-31 14:03:26
68
_hanhphuccuariengem_
RaPunZồ :
Đi ngang lỡ cười có bị gì khog
2026-08-31 07:12:57
25
keochipcute15
꧁༺ An ༻꧂ :
Ngô thời nhiệm An Lạc đko
2026-09-01 06:04:27
0
ciemdthw0
𝓚𝓲𝓶 𝓽𝓲𝓮𝓷 :
Đi ngang qua lỡ nhìn có bị gì không
2026-09-02 02:31:12
7
h.anh180312
.. :
năm sau em vô var mấy ah tí 🤣
2026-09-02 01:59:45
4
thkhuong2601
Thế Khương :
Em đi ngang lỡ liếc có bị gì ko mấy anh 😅😅😅
2026-08-29 09:30:13
7
phat.tran391
Trần Duy Phát🐶 :
anh nào cũng chất cũng jet hết á
2026-08-31 13:30:54
11
coaihoikhong.12
chạ sao . :
mình thic a xăm mình
2026-09-01 12:47:36
1
hbt040414
❤️❤️‍🔥💔❤️‍🩹❤️‍🔥💔 :
Cho xin 1anh👌👌
2026-09-02 10:09:29
0
nc.i63
ngoc :
mê a đeo kính
2026-09-02 11:14:34
0
nghi.le11514
💗🧋 :
Cho e làm quen 😳😁
2026-09-01 10:05:49
1
khangggnemaycung
Khanggg :
Sợ
2026-08-29 11:26:02
2
em_thich_anh343
phuong thuy :
mắc gì phải chọn 1 ah nên t chọn tất 😅🥰
2026-09-02 01:23:50
1
cuocdoitoitan0
92. :
mấy anh này dữ dằn lắm nài
2026-08-31 09:11:00
1
phongki0212
Phong Kỳ :
hott cà
2026-08-29 09:34:07
1
nam2k1_2
Nez_Yamal19 :
t bt mấy anh này nè
2026-08-31 14:28:42
1
iem_soc_2511
đờ an ĐAN lờ ê LÊ :
ê anh s7 đẹp nhất ln á
2026-09-03 05:56:15
0
tranthithanhtruc212
Thanh trúc 🩷 :
mê anh tóc đen
2026-09-01 11:22:39
1
won0by3
Tuyết bá kai🥶 :
cho e lm quen a đeo kính😅
2026-09-04 10:27:22
0
thanhthuan016
Thanh Thuan :
Ngô Thời nhiệm bá khí
2026-09-04 01:51:26
0
yo.sky.207
݁ ˖Ი𐑼⋆ :
ngothoinhiem với hoasen vẫn là 1cgi đó
2026-09-03 12:33:38
0
taolameochodien1908
𝓶𝓮𝓸 :
Ất thế mà lại chất
2026-08-29 09:30:39
0
To see more videos from user @lexuantri1222, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

BISMILLAH AR-RAHMAAN AR-RAHYIIM  [ MSINGI WA ELIMU YA KWELI NA HATARI YA KUFUNGA FAHAMU ]
BISMILLAH AR-RAHMAAN AR-RAHYIIM [ MSINGI WA ELIMU YA KWELI NA HATARI YA KUFUNGA FAHAMU ] "Sema: Hivi wanaweza kuwa sawa wale wanaojua na wale wasiojua? Hakika wanaozingatia ni wale wenye akili." (Surah Az-Zumar 39:9) 1. Elimu Yote Chanzo Chake ni Allah Moja ya makosa makubwa ya kifikra katika zama zetu ni kugawa elimu na kuzibeza baadhi yake kama "elimu za nje" au "za kikafiri" pale tu zinapohusu mifumo ya ulimwengu. Mwenyezi Mungu ndiye aliyemfundisha mwanadamu yale aliyokuwa hayajui ('Allamal insana ma lam ya'lam). Kusoma mifumo ya sheria za kale kama The Digest of Justinian, mikataba ya IMF, au misingi ya uchumi wa kimataifa si ukafiri; ni zana za kuelewa jinsi dunia inavyoendeshwa. Huwezi kupambana na mfumo unaokandamiza jamii leo kama hujui jinsi fedha, sheria, na jiopolitiki zinavyofanya kazi. Wanachuoni wa Zama za Dhahabu walisoma falsafa za Kiyunani na hisabati za Kihindi na kuzitumia kuujenga ustaarabu wa Kiislamu. 2. Tofauti ya Wahyi na Rai za Wanachuoni Lazima kutofautisha kati ya Wahi wa Mwenyezi Mungu (Quran na Sunnah) na juhudi za kibinadamu za kuelewa maandiko hayo (Ijtihadi). Wanachuoni ni walimu wa kuheshimiwa, lakini Mwanachuoni si Kitabu. Rai zao ni juhudi za kibinadamu zilizofanyika kulingana na zama na mazingira yao. Kugeuza rai za wanachuoni kuwa ndiyo mipaka ya mwisho ya mawazo na kufunga akili (lock fahamu) ni kosa linalonyima jamii uwezo wa kukabili changamoto mpya. Kumeza mambo bila kuchuja hutengeneza watu wanaokariri majibu ya zamani, badala ya wafikiriaji wanaoelewa mambo mapya. 3. Adabu ya Kuelimisha na Kutoa Ujumbe (Al-Balagh) Ukweli ni kama mwanga—hauhitaji kelele wala fujo ili ujitambulishe. Mfumo sahihi wa kuelimisha umejengwa juu ya misingi mikuu mitatu: Kufikisha kwa Uwazi (Al-Balagh Al-Mubeen): Weka hoja mezani kwa lugha iliyonyooka, yenye dalili za kimaandiko, kisheria, na kimantiki. Kumpa Msikilizaji Hiari: Lengo la elimu si kumshinda mtu kwenye mdahalo au kumdhalilisha, bali ni kumpa fursa ya kutafakari na kuchagua mwenyewe kufuata au kuacha. Kuepuka Malumbano ya Mtaani (Jadal): Mtu anapokosa hoja na kuanza kejeli, kucheka mzaha, au kubandika lebo za kibinafsi, anadhihirisha kuwa ufahamu wake umefika kikomo. Watu wa namna hiyo hawajibiwi kwa kelele; wanaondolewa kwenye mjadala ili kulinda nidhamu na heshima ya elimu. Ujinga wa Mifumo ya Kisasa: Huwezi kupambana na mfumo wa kiuchumi unaokandamiza watu leo kama unajua tu Fiqh ya kubadilisha ngano kwa tende ya Karne ya 10, lakini hujui jinsi mikataba ya IMF, benki kuu, na mfumo wa fedha za karatasi zilizotokana na Makubaliano ya Bretton Woods zinavyofanya kazi Elimu ya kweli ni ile inayomkomboa mwanadamu kifikra, inayomfanya amjue Muumba wake kupitia maandiko na ulimwengu aliotumba, na inayompa ujasiri wa kusimamia ukweli bila hofu wala Kelele. Ustadh Zayd Ibrahim ✍️

About