@ramadhani.w.mkalagale: haya ni maswali mepesi ila kwa mwenye imani mana hakuna atakae yajibu watabaki kutokwa na povu tu🤔👋.#saudiarabia🇸🇦 #timermedia #timermedia #dubai🇦🇪 #tanzaniantiktok🇹🇿 #trend #iran🇮🇷 #oman🇴🇲 #100MILIONSVIEWS @مہجہهہؤل 🇱🇾☠️ @Juma faki @Ustaadh abouyaqub_mk✊ @charafimali @✰J𝖆y𝖑𝖆𝖓𝖎✰ @DOCTOR SHEIKH YUSUFU DIWANI
1.Je, Maulidi ni ibada?
2. Nani alikuwa wa kwanza kuanzisha Maulidi?
3. Maulidi yalianzishwa lini?
4. Hukumu ya Maulidi katika Sharia ni ipi? tupe nguzo, masharti na Sunna za Maulidi ya Mtume ﷺ,
2026-08-30 15:06:42
0
Abu Xani🇹🇿🇸🇴 :
Ikutoshe Kauli ya Imaam Shafiy:- “Bidaa inapendwa sana na ibilisi kuliko maasi, kwasababu maasi mtu hukiri kosa ktk moyo wake anataraji nitatubu. Lakin bidaa ni kosa mtu anaitakidi ni ibada na dini so hana mpango wa kutubu wala hajuti
2026-08-30 05:44:01
0
hamic sadamu55 :
bidaa nimbaya kuliko maaswi sababu maaswi yanajulikana kwawa2 naharamu lakin dhambi yabidaa mfanyaji wake anaamini haya mambo
2026-08-30 04:52:04
0
shafiru m,kashato :
hatopatikan kamwe
2026-08-30 15:22:05
1
AbuuMohamed :
mm nitakuwa sufiy ukijibu haya maswaala haya.
1.Ni swahaba gani aliyepiga dufu na kucheza.
2.kama maulidi ni ibada niambie ilifaradhiwa lini ?
3.Ni nani aliyeanzisha bidaa ya maulidi
2026-08-30 18:07:38
0
Khamis Sengo :
shekh naomba namba yako
2026-08-30 08:34:37
0
Seif Mohamed :
tusifikie huko waislam subhanallah
2026-08-29 21:09:37
3
Batuli Juma :
mtihani mkubwa Allah atulinde
2026-08-30 15:00:10
0
alifoalide (مضاف). :
نحن أهل السنة والجماعة أعني الذين يحتفلون المولد
2026-08-30 14:19:14
0
efootball :
shekh hatokei tanganyika
2026-08-30 13:52:27
0
Ally Kalaile :
hunahoja
2026-08-30 09:14:02
0
Mujtaba Salim :
waambie wenda wakafahamu
2026-08-29 12:12:13
1
Yaah_ulamaa :
allah akuifadhi
2026-08-29 18:52:21
1
USTADH.HASHIM :
sawa kabisa🙏🥰🥰🥰🙏
2026-08-29 20:01:48
1
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Munafak ni yule anaesema mowlidi ni ibada na hana dalili kwenye qurani na hadithi
2026-08-30 15:20:22
0
أبوالمرتضى عين الرضا علي جمعة :
NA ANAETAKA DALILI YA HAYO MAJINA MAWILI
2026-08-29 12:17:42
0
FIKRATUL MUHIBB :
naam hakika sayeed
2026-08-29 10:29:53
0
charafimali :
😁😁😁NA MUJITAAHIDU😂😂
2026-08-29 19:26:10
0
KAI :
mi nimeishi na masalfy na masufi sjaona salafy mganga masufi wamejaa mtu mshirikina halafu imamu mi nikatoka kwenye usufi
2026-08-29 11:59:49
0
NUMBER "E" MODERN FURNITURES :
kati ya kuzini na kumzushiya uongo Allha na kuuutangaza nakuhalalish hilo nakufuwatwa na mzinifu niyupi mbaya zaidi
sheee ukinijibu nitumie no nikutumie chochote kitu
2026-08-29 19:00:54
0
SUPREM-LEADER_20% :
vijana acheni kurumbana wafundisheni watu uislamu, acheni jaziba na hivyo vielimu vyenu vya kuokoteza kunamambomeng ya kuufundisha umma na sio marumbano
2026-08-29 10:43:15
1
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Kwa nini Ibilisi anafurahia mtu mwenye bid‘ah (uzushi katika dini), wanazuoni wameeleza hivi:
1. Mwenye bid‘ah anaweza kudhani kwamba anafanya ibada
Mtu anayefanya maasi mara nyingi anajua kwamba anafanya dhambi, hivyo anaweza kujuta na kutubu.
Lakini mwenye bid‘ah anaweza kufanya jambo ambalo halikufanywa au kuamrishwa na Mtume ﷺ, huku akiamini kwamba anamsogelea Allah kwa ibada hiyo.
2. Kwa nini hii ni hatari?
Kwa sababu Shaytani anataka kumpotosha mtu kutoka katika njia iliyonyooka. Allah amesema:
﴿لَأَقْعُدَنّلَهُمْصِرَاطَكَالْمُسْتَقِيمَ﴾
“Hakika nitawakalia katika njia Yako iliyonyooka.”
[Al-A‘raf 7:16]
Mtume ﷺ amesema:
«وَشَرّالأُمُورِ مُحْدَثَاتُهَا، وَكُلّبِدْعَةٍ ضَلَالَةٌ»
“Na mambo mabaya zaidi ni yale yaliyozushwa, na kila bid‘ah ni upotovu.”
[Sahih Muslim]
3. Tofauti kati ya mwenye maasi na mwenye bid‘ah
Mwenye maasi
Mwenye bid‘ah
Anaweza kujua kwamba anafanya dhambi
Anaweza kudhani kwamba anafanya ibada
Anaweza kujuta na kutubu
Anaweza asione sababu ya kutubu
Shaytani humsukuma kufanya dhambi
Shaytani humvisha bid‘ah sura ya ibada
Anaweza kuacha dhambi akijua hukumu yake
Anaweza kushikilia bid‘ah akiamini ni jambo jema
Lakini: Haimaanishi kwamba kila mwenye bid‘ah ni kafiri, wala kwamba kila mwenye bid‘ah ni mbaya kuliko kila mwenye maasi. Hukumu hutegemea aina ya bid‘ah, kiwango chake, na hali ya mtu.
Ikiwa unataka, naweza kukupa
maneno ya Ibn Taymiyyah, Ibn al-Qayyim na al-Shatibi kwa Kiarabu, pamoja na tafsiri yake ya Kiswahili na marejeo ya vitabu vyao.
2026-08-30 15:10:55
0
To see more videos from user @ramadhani.w.mkalagale, please go to the Tikwm
homepage.