@ustadhzaydibrahim: Unajua Kwanini Ndoa Za Wakristo Hazivunyiki Sana Kama Za Waislamu ? #ustadhzaydibrahim

Ustadh Zayd Ibrahim
Ustadh Zayd Ibrahim
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 29 August 2026 10:06:20 GMT
24997
1043
94
62

Music

Download

Comments

semen.kasian
Semen Kasian :
@hongera
2026-08-29 13:08:59
0
bossah__vanessa
bossah__vanessa🌹🌸🌻 :
Waislam wengi awakupend kwasababu unawaambia ukwel
2026-08-29 10:48:56
15
elliebad6
Bless :
sheikh naruhusiwa kukufollow mm mkristo???
2026-08-29 18:22:30
6
diankapasa
Diana kapasi :
mwana yesu asifiwe najina labwana rimidiwe kwawatu hote
2026-08-29 17:18:14
14
user6721476602953
2026-08-29 20:06:34
0
ramla.yusuph6
Ramla Yusuph :
aliyekuamnia hazivunjiki ni nani
2026-08-29 11:26:57
2
francisca24683
kudra kamala :
kaka unatunzwa kwa namba gani??
2026-08-30 04:01:30
0
ma223049
ma22 :
siwez kukunyima comments mtumishi Wa Mungu👏
2026-08-29 19:18:27
2
lucymbwira
mama prince :
nakupenda shekhe unasema ukwel kbsa🌹🌹🌹🌹
2026-08-29 18:39:09
2
jmj_pearlybiz
MJ Pearly Collection 💎💫 :
Uko sahihi sana kwasababu mwanzo wa ndoa ndo vizazi sasa matalaka hovyo hovyo tunaharibu sana vizazi. Mungu akubariki sana mana sijui wanaichukuliaje ndoa aisee
2026-08-29 22:35:51
2
linatdw
linat♥️dw :
hongera
2026-08-30 02:59:18
0
www.tiktok.comfaithman
El-elohe-Moshe :
Bwana Yesu asifiwe sana walokole like injili iende mbele
2026-08-29 18:04:09
4
user9433973461685
user9433973461685 :
wakristo wana fundishwa mafundisho ya ndoa kabla ya kufunga ndoa jinsi ya kuvumiliana kuheshimiana kumjua mungu ndoa inachukuliwa siriazi sana
2026-08-29 20:38:48
1
user6758219220622
Eunice :
ndoa talaka unaandikiwa kwenye sms et mimi flani nakupa talaka3 wewe flani bin flani au et uje nyumbani saa8 usiku nikuulize uchane daftari la mtoto uchukue na peni uandike et talaka my husband mtarajiwa nitazichana izo sana😅
2026-08-29 20:12:55
2
samsonhumbe615
Samson Humbe :
Okoka kijana wangu, mpokee Yesu Kristo aww Bwana na mwokozi wa maisha yako
2026-08-29 19:41:12
2
nathanaelkitus
nathanaelkitus :
Mungu akubaliki wokovu upo karibu haki ya Mungu iwe juu yako wema na fadhili za Mungu ziwe pamoja na wewe kwani mengi unafundisha mafundisho ambayo kila mtu anasikiliza bila shida Mungu akuinue kujua vingi
2026-08-29 20:41:37
1
grn496
Anne :
Nitumie namba yako nikutumie hata hela ya soda Kwasababu we ni mkweli.,, Na peponi utaenda kwa sababu Mùngu anahitaji watu kama wewe
2026-08-29 12:46:42
1
jgwashunda
J gwashunda :
nakubalian na ww ndugu yangu n kweli kabisa
2026-08-29 11:14:54
1
vs99127
vs :
weka namba ya cm tukunze mafundisho yako ni mazuri sana mungu avijaze nakusukwa sukwa na hata kumwagika ubalikiwe wewe kizazi chako amen
2026-08-29 18:36:18
0
hellen.asher
Hellen Ashery :
tukiapa madhabahun unaapa Kwa shida na Raha
2026-08-29 11:19:17
1
novatuslufunga
chama jr :
shekhe mungu hakujalie mzima uendelee kutoa elimu pasipo kujali dini ya mtu .ila katika elimu unayotoa kuna watu hawapendi kwa sababu unaongea ukweli allah hakujalie hekima na uzima🙏🙏
2026-08-29 10:15:16
2
marllah06
magrethherin :
inaitwa ndoa takatifu kinachofungwa duniani na mbinguni kimefungwa unachofua duniani na mbinguni kimefunguliwa
2026-08-29 17:04:59
1
dignakumburu
Digna Kumburu :
mungu akubariki kwa kusimamia ukweli mungu ni roho wanaotaka kumjuani lazima uwe kwenye roho
2026-08-29 12:21:01
1
filomena.mlelwa
filomena mlelwa :
Amina
2026-08-30 03:23:18
0
user1982756102134
Adamu Damas :
Amen sheghe ubarikiwe
2026-08-30 03:45:22
0
To see more videos from user @ustadhzaydibrahim, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About