@official_mbrazil: Wakati niko chuo mwaka wangu wa pili pale @UDSM .. DARUSO - PRESIDENT Siku moja isiyokuwa na jina nilikaa nikawaza nkasema naweza kufika safari yangu ya mziki pekeyangu ila ntachelewa nkakaa nkafkilia nkasema kama DULLA MAKABILA atafungua label ya mziki wa singeli kama @Diamond Platnumz alivyofungua @WCB basi ntaomba mimi niwe msanii wa kwanza kusigniwa katika label hiyo ili nifike kwa haraka kwenye safari yangu ,Baada ya kumaliza BACHELOR DEGREE yangu nkakaa mtaani kwa miezi miwili tu ,mara siku moja KING OF SINGELI aliniita kwa ajili ya mazungumzo na akasema anahitaji kufungua label ya mziki wa singeli na akataka kuanza na mimi kwenye label yake unafkili ilikuwaje?.... ITAENDELEA ila Aliyeiroga MAKABILA GANG alaniwe kama bado yuko hai😭 @Dullamakabila @meddy_makabila69 @Mr leooo leoo leoo #flypシ #trending #foryoupage #kenyantiktok🇰🇪

Mbrazil 👑
Mbrazil 👑
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 29 August 2026 13:26:45 GMT
114245
12021
84
99

Music

Download

Comments

kurunge3
Kurunge :
anaeijua Kasanga tujuane apa
2026-08-30 08:41:42
25
midofocustv
mido_focus 📍 :
👑kasanga
2026-08-29 16:11:23
21
mohd_kindanda
KINDANDA_👑 :
hii show yote napata wapi
2026-08-29 15:30:01
9
kido_mr_hitsong
Kido Mr Hit 🎯 :
Uyoooo
2026-08-29 16:29:50
6
pidy426
ᴾⁱᵈʸ :
dooh kumbe msomi
2026-08-31 05:43:01
1
qallie.treep2
Qallie Treep :
kaka kwenye mapenzi tusirudi hadi wapunguze UNAFIKI bhn
2026-08-29 14:22:08
10
_sailor06
KIDD⚡🌠 :
Mkubwa mbrazil🙌🔥
2026-08-29 13:29:25
7
deejwilly
Dj willy Tz🇹🇿 :
Ataleeeee🔥
2026-08-30 09:26:32
1
hmrisho501gmail.com
Mdudu%🦖🦖 :
noma sana😃😃😃
2026-08-29 14:38:52
4
m.gaddo
It's Mouleedy مولد :
Gulu nation💯
2026-08-29 13:46:55
2
martin.ngowi
Mo'h white 🔥🌏 :
Qalii 🔥
2026-09-01 17:45:51
0
young_trapper_tz
NTWARA ICON 🦍 :
kwa mtazamo wangu, na maoni yangu, nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mm naweza kuwa na mtazamo ambao Nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni ambalo kwa maoni yangu naona kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufundi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa naweka wazi ya kwamba maoni yangu na mawazo yangu naeleza kuwa mtazamo huu ni kueleza kuwa sina la kusema maana hata mimi sielewi ndugu zangu..
2026-09-01 13:54:27
0
bad.hunter39
Bad Hunter :
Mkali sana wewe
2026-08-29 14:35:51
2
trox_pavoni26
POPI :
mbrazil unajua sanaaa
2026-08-29 15:03:10
1
badeagle010
jr Scott 🦅🦅 :
Moro kasanga❤️
2026-08-29 21:47:37
1
briellah4545
Oliver__ngg4️⃣5️⃣ :
uliuwa sana,hii show live naisikiliza kila wakati ina balaaa🔥
2026-08-30 09:20:47
1
tessyeuz
Tessy :
Mm nilikuwaga wapi 🤔🤔
2026-08-29 16:18:30
0
panchovalentino97
panchovalentino97 :
nomaaaaaa Saaaana
2026-09-01 08:03:55
0
hashimumakunguru3
heshi og :
sisi wakasanga njoen apa
2026-08-31 18:49:57
0
miranmotors1
Miran motors :
msanii alafu msomi 🔥
2026-09-07 13:42:33
0
biz2832
CHILUBA🇿🇦🔥💪💪 :
Mwanetuu hun baya🔥
2026-08-31 19:45:46
0
justizombie
TINE macavel :
nyimbo ina itwaje iyo ya morogoro kasa iyo
2026-09-01 06:12:08
0
secondborn357
second born💕💘 :
big up sana mrugur mwenzanguu❤️
2026-08-29 20:41:45
0
To see more videos from user @official_mbrazil, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About