@cocofm: UDA YAWEKWA KWENYE MIZANI KALOLENI Katika mkutano uliowakutanisha wafuasi wa UDA na viongozi wao mjini Kaloleni, katika juhudi za kuimarisha chama hicho mashinani, haikuwa rahisi kumpigia debe Gavana wa Kilifi Gideon Mung'aro na Mbunge wa Kaloleni Paul Katana huku viongozi hao wakipata wakati mgumu kuwatetea jukwaani. #MionziyaCocoFM #COCOFM #ladhayapwani
Hizo pesa nyingi wale wao lakini ss tunataka maji stima na bursary
2026-08-30 13:50:53
0
Edwin saisi :
mbona citizen iwezi leta news kama hizi
2026-08-30 19:07:23
0
user5812344967580 :
kaloleni hakuna maendeleo barabara ya kaloleni,mwabayanyundo,mwanamwinga,kinarani kwademu mumeisahau miaka yote
2026-08-29 15:56:22
4
KIDEVU MWENYE :
USIMTAJE RUTO
2026-08-29 18:05:46
1
Pherrick Mapenzi :
Pk aende home mapema
2026-08-29 16:48:55
1
MDANTA254 🇰🇪🇺🇸 :
It’s boiling hot 💯
2026-08-29 17:07:41
0
user3605281555918 :
Hakuna kubeba punda tena
2026-08-30 06:51:57
2
user337436644151 :
baha Jumwa
2026-08-30 20:45:08
1
MeckyLameck Okuto :
lolani lonng tyme umepotelea wapi?.
2026-08-30 19:27:33
0
Muranga Mbaruku :
@wantam
2026-08-30 07:56:56
1
Pherrick Mapenzi :
Kabisa...baha Jumwa
2026-08-29 16:51:10
4
Pherrick Mapenzi :
wote ni shida tupu
2026-08-29 16:49:33
1
mrembo wa A.J.K :
baha jumwa
2026-08-29 16:58:21
1
Braviam Xdouble6 :
ivi ndio inafaa pk ametubeba ufala ii group yote iende.
2026-09-01 07:10:08
0
Kapasho :
Mchezo wa Town waliucheza hao jamaa wa UDA...Kaloleni na Kilifi ni ngome ya ODM na itabaki kuwa hivyo...ODM ndio inaweza kumsaidia Ruto hapa Kilifi but hao watu wa UDA wanafanya kazi bure.
2026-08-30 04:45:56
0
babaz :
jumwaaa
2026-08-30 06:10:35
0
nzainzai :
watu wame shtuka acheni siasa duni na uongo kibao
2026-08-30 11:06:09
0
Rachael Snaj Moleh :
Baha Jumwa
2026-08-30 05:40:50
0
Yento :
2026-08-30 18:01:03
0
Mary Uchi :
🙏🙏
2026-08-29 18:50:36
0
To see more videos from user @cocofm, please go to the Tikwm
homepage.