mazazi ya mtume ni mazito sanaaaa ila tusijisahau kwa kulinganiaha na usiku wa lailatul qadiri, huu umetajwa na siku ya kuzaliwa mtume haikutajwa ila ndio kosho au mkono wa kukupeleka kwa allah
2026-08-29 22:33:37
2
saifsaify20 :
Wanawachuoni ni nani zaid ya allah alosema ktk quran lailatul qadr khayrun min…..sasa wanawazuoni sie tuwasililize vp zaid ya kumsikiliza mungu.mashekh mtihan.lailatul qadr ni bora zaid
2026-08-30 05:14:07
1
Juma Swalehe :
Asante san shekh
2026-08-30 07:46:42
0
Diga Lise :
ikiwa imamu shafii alisema ikiwa maneno yangu kama yagongana na aya zamweezimungu na suna zabwana mtume tupilieni mbali jee hili na mwana tuoni kusema usiku wakuzaliwa mtume ni bora na mwenye ezimungu ametuambia lylatulqadir ni bora tushike wapii jibu unalo mwenyewe msikilizaji
2026-08-30 07:16:39
0
Suleiman Abdulrahman :
mie cna elimu nalo hilo
2026-08-30 06:25:49
0
NS Aibu osman$$ :
Alla atuongoze
2026-08-30 04:00:25
0
ali :
ma Sha Sha kweli kabisa sheikh and jaazaakallah kheira
2026-08-30 04:39:41
0
Bin Taha Aljunayd :
shida ufahamu
2026-08-30 03:14:09
1
ziaudeen maryam :
subhanallah
2026-08-29 18:57:06
0
Seetiy_said :
SUBHANALLAH
2026-08-29 18:54:19
0
Abdub m kara :
subhanallah
2026-08-29 18:24:58
0
mahara :
bila yamtume laminate kadirhingeshuka kwako uzaziwamtume ndio kilakitu kablayakuzaliwa mtume qurani hisingeshuka kuzaliwa kwamtume ni bora
2026-08-29 19:29:49
0
Mwachanze :
Subhanallah Allah awaongoze watu w bidhaa ni waovu sana
2026-08-29 22:08:08
1
Raj :
kwani mtume alizaliwa akiwa na Utume?
2026-08-30 03:53:30
0
AMK :
Masheikh wa Tanzania 🤣🤣🤣mwengine alisema Bibi Khadija alikuwa Mshangazi 😟😟😟
2026-08-30 03:52:31
0
Abuu Sumaiya Ali :
Jameni Hii dini inakwenda na dalili haiendi kwa akili zetu.
mana wengi twaongea kwa akili zetu.
Allah yuasema lailatul qadir ni Bora nyinyi mwaongea kwa akili zenu.
2026-08-30 04:23:53
0
To see more videos from user @maumahir2018, please go to the Tikwm
homepage.