Birthday celebration is different from Moulidi.Poor reasoning...
2026-08-29 16:36:25
0
Sally :
mashallah good advice bro am frm kenya
2026-08-29 16:07:00
2
2ml :
Perfume is not related to the deen
2026-08-29 19:26:33
0
Jumbe jr🌍🌍 :
mtume alishoot video.?
2026-08-30 08:42:24
0
i_am_mtwapa. :
you are confused there's bidaa in the context of language as innovation and Bida in terms of fiqh , Celebrations is ibadah and maulid as a ibadah is bida.
2026-08-29 17:04:13
10
💯bobobrain_05💎 :
katika uislam:Ibada yoyote asili yake ni Haram isipokua kuwe na ushahidi wa kuihalalisha Ibada Ile+ na vitu vyote asili yake ni ruhsa mfano, kujitia Mankato, isipo kuwa kuwe na ushahidi wa kukiharamisha. swl-je maulid ni Ibada na kama Ibada Kuna ushahidi wa kuihalalisha maulidi?
2026-08-30 04:59:15
5
umeme 001 :
kutumia cm bidaa
2026-08-29 18:18:35
3
alikhamisi2 :
Basi tufanye Maulidi ya Hassan na Hussein pia
2026-08-29 17:06:48
3
alibinali023 :
Bidaa ni katika ibada, sio chochote hakufanya mtume , bida inausika tu katika ibada Sheikh
2026-08-30 07:54:30
3
LOMY Disiner :
somo zuri sana
2026-08-29 16:03:47
3
Baghabagha Ing'weng'we :
aya hazikuwa pamoja baada ya mtume kufa zikakusanywa zikawa msahafu je ni bidaa?
2026-08-29 17:33:08
3
young swaah :
na mauridi ni kwenye din au nje ya din
2026-08-29 16:35:13
0
Ibrahim :
hyoo sio hojaa ya msingii tunazugumzia dini hpaa
2026-08-29 18:06:46
1
Iron Man :
CHENYE KUASHIRIA IBADA NDIO BIDAA SIO KILA K2 NI BIDAA👈
2026-08-29 20:41:02
0
yamal :
mtume muhammad hajakuja kutufundisha kucheza ngoma (maulid)
2026-08-29 18:48:10
1
Issa Nina :
upo sawa habib wataelewa tu
2026-08-29 18:35:54
1
ALJAZIIRA ISLAMIC CENTRE :
Kuna Ada na bidaa, Kuna mambo mengi ya ada tunayoyafanya ambayo ni yenye kupendeza kama malashi, ndege, biriani, n.k.Lakini mambo haya ya kiada inategemea unayafanya kwa nia ipi, ama bidaa ni kuleta jambo katika dini ambalo halipo katika mafundisho ya Qur'an, sunna za Mtume S.A.W pamoja generation tatu bora. Sasa unaeenda Maulidini jihesabu mwenyewe umetumia dalili ipi au ushahidi wa mafunzo yapi
2026-08-29 19:06:02
2
BHUI_JR06 :
mtume alijipulizia manukato ambayo ni mafuta ya miski na hizi purfume c ni manukato au nn
2026-08-29 21:46:51
0
Kontawa :
izo ndege unazosem kwel ilikuwa hakun lakin qur-an imeeleza Kil kitu man mtume s.a.w aliambiwa n Allah Kwamba ewe Muhammad s.a.w Leo unaona hivi vipand
bc zitafik zam ambazo kutakuwa n vipand vyengine kabisa n sio hivo(Tusomeni jamani)
2026-08-30 03:23:14
0
Mtumba_Becca :
Kwahyo maulid SI katika Dini, Maash'Allah
maana yake watu wamejiamulia Lakini SI katika Dini
2026-08-29 20:50:16
0
Maziwa :
Asalamalekum brother wacha kupoteza waislamu
2026-08-29 16:46:07
3
Takmar🇹🇿 :
Ndege sio dini
2026-08-29 18:06:44
1
kichasi :
sheik nilkuwa nakufollow vile ulivoangazia Kwa upana mas'ala ya Iran. usuli wa ibada yoyote ni kharam isipokuwa kuwe Kuna dalilili ya kuhalalishwa kwake. na upande wa vitu, usuli wa vitu na vyakula vote ni halali isipokuwa kuwe Kuna dalili ya kuharamiswa. Kwa hivyo usichanganye ibada na vitu ama vyakula. sisemi kwamba maulidi ni haramu, isipokuwa mpaka tupate dalili ya kuhalalishwa kwake.
2026-08-30 07:05:56
1
mzasha :
tukizungumzia bidaah tunazungumzia katika dini
2026-08-29 17:30:41
1
diza :
lililo la ukweli laeleweka kwa hakika umezungumza point japo mimi sio shia
2026-08-29 16:49:40
1
To see more videos from user @sheikhmuhammad.uchambuzi, please go to the Tikwm
homepage.