Umeongea point sana. Kuna watu hawajui historia halafu kila siku wanajifanya wanamjuaa Nyerere.
2026-08-31 05:20:14
1
Khamis Manywele :
fact
2026-08-30 03:46:47
2
Moshi Sadara :
Mzee upo vizuri sana
2026-08-29 23:03:39
2
Arsene Makonga :
safi sana tusiojua tuna changamot9
2026-08-30 13:15:01
0
user72394190605690 :
MZEE BOSCO NAKUPA 100%...RESPECT....
2026-08-29 22:51:00
1
Jimmy :
facts
2026-08-30 05:30:40
1
muki :
ndio Bosco nakuelewq sana
2026-08-29 17:29:08
1
KUMBILA :
umenena vyema mzee
2026-08-30 19:52:42
1
godwiniabel :
baba Asante, nchi hii inalindwa na sisi wote na si majeshi na serikali.wajifunze kitu hapa na si kwa ubaya.
2026-08-30 11:31:08
0
ashm :
wambie ukweli wamesahau jumbe au kwakua katawala samia wambie ukweli
2026-08-30 06:12:09
2
sugu :
Daaah mzee Bosco una kitu kikubwa sana Wallah! Namkubali sana Dotto Magali kwa kuwasalimia wasomi kwa kuwa anajua wanajua lakini wanafikiri hatujui kama wanajua! wanataka kutuchanganya. "WASOMI HI"!!!!
2026-08-30 10:48:48
1
maduka10 :
kaka wakumbushe kina kasangatumbo Oscar kambona walipitia mambo gani?
2026-08-30 16:09:37
0
Makubuli Bin Tambwe :
safi sana mzee bosco unajua mpaka umepitiliza
2026-08-30 07:05:10
0
Munga Real Estate :
Mzee Bosco unamadini sana yaani yaani watakuelewa sana.
2026-08-29 17:07:11
1
user72394190605690 :
Umesema ukweli
2026-08-29 22:51:39
1
cleartzboy :
mzee upo sahih lkn kina warioba wao hawapingi utawala bali wanataka maboresho ktk tawala zilizopo
2026-08-29 20:00:59
1
Nassoro Mkwanje :
Upo sahihi SANA haya hayakuanza leo Mbona Warioba hakuhoji wkt Jumbe anapigwa pini milele pia kina Kolimba Seif nk Leo anahoji katiba tume huru wkt Warioba ndiye aliyehusika kutunga katiba hii Kuhusu utekaji mbona juzi tu kpnd cha Magufuli ulishamiri mbona huyu WARIOBA hakumsanua Magufuli au kwa sbb ni mkatoliki mwenzake au Kanda ya ziwa mwenzake?
2026-08-30 06:14:13
1
user818263508440 :
Kwa hili mzee nakupa kongole. Msema kweli mpenzi wa mungu.
2026-08-30 00:34:27
2
Mohammed Abass :
hatari sana hiki kichwa
2026-08-29 21:23:26
2
Jomba Chama :
kweli hawa wazee ni shida, watatuacha vbaya WALIOBA mlevi hata REMY ONGARA alimuimba huyu mzee Mlevi
2026-08-30 05:20:20
1
Taiyoung Allyson Mono :
ssa wanaosomea tiktok wataelewa mambo ya kizuizunii.. kigamboni
2026-08-30 20:29:09
0
hassan Mtiifu :
Hapo chacha, Wezee wa hovyo sana Hawa,,,,Wanafumba jicho Moja kwa Maslahi Yao, lakini hawaelewi kuwa Nyakati hizi watu tunawazumu tu
2026-08-30 20:56:23
0
bimganga :
Pini aliyopigwa Jumbe wameizimia data.ama kweli hawa upande wa pili wabaya sana
2026-08-30 05:23:46
1
To see more videos from user @mzeeboscomwambawatibaha, please go to the Tikwm
homepage.