kwa kweli hayo maneno ni makali sana hata mm yamenitoa machozi maana hicho ni kiapo au maagizo magumu sana
nipende kutoa shukurani zangu za dhati kwa mh. rais samia suluhu hassani pamoja na kamati kuu serikali kuu pamoja na bunge kwa kuwa na maono ya mbali kwa kutuletea kijana mwenzetu kijana muardirifu kijana mchapa kazi na msikivu 🙏
2026-08-30 07:10:51
1
user1489036471253 :
wanga wamekutana kwenye kikao chao
2026-08-30 10:45:20
0
Suleiman Jabir :
ukimfunda saana, ataharibikiwa!!
2026-08-30 11:01:50
0
magesa secretarial services :
mtu mziwa dawa ndo hii. maneno mazuri sana
2026-08-30 10:49:01
0
Ngega Mageme Golo :
hii ndo maana ya mutu munzima mungu kubariki munzehe kabundi
2026-08-30 10:27:51
0
jey 3@ :
uhakk mung amsimamie asiwe km wale ..........
2026-08-30 05:37:22
0
coelestinestephan :
nukuu. waliodhani wewe ni dhaifu kumbe ndo nguvu yako
2026-08-30 05:32:57
0
MTU kutu mweusii 2011 :
Hakika mungu hukinuwa kilicho dharauliwa na hata Deo hukujinua kwa lolote mbele za wanadamu na MUNGU amekuinua kwa kupitia mama Samia na uende pote busara ikutangulie popote na hekima ikawe pembeni yako na mungu akawe mshauri wa magumu yote na unyenyekevu iwe silaha Bora maishani mwako Amen
2026-08-30 07:10:04
0
gipson lister mkwawi :
Amen 🙏
2026-08-30 04:16:03
0
Leila ndejembi :
mwenyez mungu akubalik san baba et Asante Kwa usia wako ni maneno mazur yeny busar na hekima yaliyojaaa maumiv ndan yake 🙏🙏🙏 sisi kama family tunakuombea kaka et mungu akutangulie ktk kila hatua na akufanyie wepes kila jambo na akupe Hitaj la moyo wako kaka ang 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 tunakupenda san ❤️❤️❤️