@infinitynest: Usidanganyike na mtu anayekuambia kifaa kinafika umbali wa kilometa fulani bila kukuuliza mazingira ya eneo lako. Umbali wa vifaa vya network hauamuliwi na nguvu ya kifaa pekee. Kuna vitu kama majengo, miti, milima, interference, line of sight na mazingira kwa ujumla. Kifaa kinaweza kufika meter 300 sehemu moja lakini sehemu nyingine kikashindwa hata meter 100. Kabla hujanunua kifaa, hakikisha umefanyiwa tathmini ya mazingira yako sio kuuziwa tu “hiki kinafika meter 300” 😅

Ben Albert
Ben Albert
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 29 August 2026 16:19:30 GMT
5112
43
3
0

Music

Download

Comments

connect_tz0
Connect_tz :
Shida hawafiki bei😂
2026-08-29 20:05:36
1
user5794879141709
MASINDE THE SON :
iyo wifi 6 ni bei gani
2026-08-30 06:02:31
0
To see more videos from user @infinitynest, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About