@asam.media.group: #AsamOnlineTV #Tanzania #TikTokTanzania #TrendingNow #SisiNiJamii #Trending #ViralTanzania #BreakingNews #Zanzibar #Shorts #FYP

Asam Media Group
Asam Media Group
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 29 August 2026 17:15:49 GMT
94312
3369
220
504

Music

Download

Comments

mmangahd
Mobi :
Acheni uongo anaejua ya siri ni Mungu peke yako
2026-08-29 18:34:29
88
demiry_
@cutemiih7 :
tuhame tuend wap
2026-08-29 20:01:24
0
saida.foum
Saida Foum :
allah atunusuru
2026-08-30 10:28:19
0
user4186177245948
user4186177245948 :
Serikali inakwepa majukumu mapemaa ndo serikali yetu cha msingi tuombe mungu hizo mvua Allah azishinde nguvu zisiwe kubwa kama zilivo tabiriwa badala yake ziwe za kiasi na za neema na baraka aminaa
2026-08-29 19:19:03
133
pink.mellow6
Pink mellow :
Mkoa wa magharib ndo mkoa gani
2026-08-30 06:59:11
15
softy.131
softy 13 :
ya rabb tuepushe na mabalaa makubwa na madogo
2026-08-29 19:22:49
22
ahmadibanshee
Ahmad :
Waende wap?
2026-08-30 03:20:59
5
user37561078147800
Dida :
Twende wapi jmn 🥺
2026-08-29 21:21:48
3
shazirahamiss
Shazira Hamiss :
allah atulinde
2026-08-29 18:54:48
3
user7251947073763
Anna🤑 :
hakuna awezae kuizuia ghadhabu ya MUNGU
2026-08-30 07:03:03
7
user2622410668144
jenipha Noel :
sasa habari ya ZANZIBAR mnailetaje bongo
2026-08-30 14:12:51
0
user9463663487070
Khamis Alawi :
kama hawana jamaa je?
2026-08-29 18:13:24
6
mamytwins20
adrakanir24 :
Nyerere tuko Salam lakin
2026-08-29 19:30:12
4
anilliyyah
ANILLIYYAH❤️ :
Watu wahame ata mvua yenyewe haijaanza kunyesha ! tuacheni Tunasubiri ushahidi kamili mpaka tushuhudie kwamacho yetu ndipo tutaacha ndala mkuuu 😁
2026-08-29 23:10:28
8
linah4983
Agape ♥️🇹🇿 :
mkoa wa magharibi ndo wapi mi sielewagi nijue yaweza kuwa na Mimi nipo kwenye hiyo mkoa hiyo na siju
2026-08-30 06:37:28
4
aishambaga1
aisha :
huomji upo wap embu tuambien mnatuchanganya ban
2026-08-30 12:53:47
0
nawwar.sultwaan
nawwar sultwaan :
tuje tukae majumbani kwenu kama raha 🤣🤣🤣😂🤣🤣hi nchi yetu imetoboka pahala si bure yaani baada serikali kama serikali itengeze maeneo maalumu ya kujihami wananchi wao ili ionekane kama serikali imechukua juhudi na kuwajali wananchi wao ety watu wakakae majumbani kwa ndg zao Kuna wengine wajane Kuna wengine ata hawana watu Tena Kuna wengine hawakaliki lakini kwakua serikali ishaamua ety watu wasipoondoka kwa hiari wataondoka kwa lazima sawa akuna shida na nyie mutaondoka lakini hii sio sawa maisha yenyewe magumu hii haiko sawa
2026-08-30 05:11:47
6
zulfa.angerousi
Zuuh🦋💕 :
magharibi ndo wapi sasa isije ikawa nipo magharibi na sijuh😳😳
2026-08-30 12:48:52
4
amza.amza2812
AMZA🇹🇿👸🔥 :
Hii mvua itanyesha Tanzania tu au ata nchi jiran
2026-08-30 11:34:26
0
mamytwins20
adrakanir24 :
Lin hiyo tena
2026-08-29 19:29:23
0
chimoo665
chimoo :
Mungu yunae na tunatamba nae tuacheni
2026-08-29 20:39:59
2
teetiny3
By_teeraj :
Zinaanza Lin kwan?
2026-08-30 08:09:11
1
atsalsule
Atsalsule :
hapo mji mkongwe ipo siku watu watalia , hayo majengo ni hatari kuwa makaaz ya wat baadh yao
2026-08-30 10:20:39
1
To see more videos from user @asam.media.group, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About