Mon frère atuna na besoin ya kuwa na makuta ya mingi sana ju tukuwe na furaha, hii génération ya ba capitaliste njo inata ku tia accent sana ku makuta, sinon bazazi yetu habakukuwaka na bya ajabu mais baliishi bien tena mu furaha. Mais aussi point ingine, kuwa religieux hakumaanishi ku croire Sans avoir preuve, biblia inasema imani "uthibitisho uliyo wazi wa mambo yasiyoonekana" donc pour que usema una amini kitu il faut ukuwe na ma preuve yaku appuyé Imani Yako, kama habakukufundishaka vile ceque ni problème ya formateur wako, mais biblia iko wazi