@chamulungu_tv: 🔥 HASIRA ZATANDA! PESA ZAIDI YA TSH MILIONI 302 ZILIPO? Mvutano wazidi kushika kasi baada ya kuibuka maswali kuhusu TSh milioni 302 zinazodaiwa kuwa zilichangwa kwa ajili ya kufanikisha Baraza Kuu linalotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa Septemba. Baadhi ya wanachama na wadau sasa wanataka majibu: Fedha hizo ziko wapi na zimetumika kwa shughuli gani? Madai yanaeleza kuwa baada ya kuulizwa kuhusu uwepo wa fedha hizo, majibu yamekuwa yakizunguka bila kuweka wazi hatma ya fedha hizo. Je, TSh milioni 302 zipo au hazipo? Na kama zipo, ziko wapi? 👀 CHAMULUNGU TV inaendelea kufuatilia kwa karibu sakata hili. #ChamulunguTV #Tanzania #BarazaKuu #Chadema #Milioni302
ur speaking abt 300m CAG huwa anareport mabilion kupoteza @🤷♂️
2026-08-30 09:48:42
0
Sadam Issa :
tutachanga tena wakitaka
2026-08-30 05:19:43
7
jackline :
sasa si zitumike ss haituhusu ila tuko tayari kuchanga tena
2026-08-30 03:52:49
11
@pasie :
kulen zote hii nchi wajing ni wengi watachanga tena icho chama akin maana yoyote zaid ya kuitaka dola wanalilia dola akuna cha ukomboz apo
2026-08-30 07:08:20
10
Rick :
TUNACHANGA TENA BILA KUCHOKA sisi watanganyika timamu tunaanza natunaendelea kuchanga
2026-08-30 07:20:49
5
Mwamba :
kuleni tuchangie upya
2026-08-30 07:38:59
3
Denis Nicholas :
Pesa zipo na zitatumika kama ilivyopaswa
2026-08-30 04:52:55
1
mabudaissere :
chadema ikipotea,itachukua miongo kadhaa kuja kupata mbadala wake
2026-08-30 14:14:58
0
Tom Naabona :
Ila hela bhana. Watu wameshahaidiwa pesa waaribu chama
2026-08-30 01:05:25
2
RIYADH🇰🇪 :
WATU WAZIMA WASTAAFU TENA ..
2026-08-30 11:11:53
0
Uleeddi :
mbona sioni wale maarufu ili niamini
2026-08-30 10:14:37
0
user27102508038545 :
tunachanga haina shida 😁😁😁
2026-08-30 10:51:08
0
AHSANTE SANA :
hiii nayo ni TV channel mpya inayotaka followers, likes, na shares Kwa kuandika content za uongo itamaliza kweli hata miaka 2
2026-08-30 05:03:28
0
Ayubu Said :
vp
2026-08-29 19:50:13
1
Ɓ.Î.Ĝ.Ĵ.Å.M.Å.💯 :
msikilizi mnakimbilia kucoment
2026-08-30 07:51:04
0
hustler👊🇰🇪🇹🇿 :
wafia chama tena hasa kwa hasa walisema wanachanga ili heche ale kwaiyo msipige kelele cjangeni nyingine ili ale msijali mana mtu anaekaribiwa kuibiwa huwa hatakagi ushauri
2026-08-30 07:03:46
3
Nehemia Thobias :
mwandishi mbona ulichoandika nakile kimezungumzwa hapa ni mbingu na alidhi au hii ndioo media uchwala
2026-08-30 09:27:49
0
ceo :
hao nyuma yake wanafanya nn?
2026-08-30 02:35:16
0
sule kibansawa :
alafu twape nch
2026-08-30 06:50:53
0
JOJI :
hama Chama
2026-08-30 04:46:26
0
Mt :
hata kama tutakula ni zetu wananchi wapenda haki
2026-08-30 06:51:14
0
user97408302002357 :
tutachanga zingine tena
2026-08-30 09:22:38
0
johanesburg :
sikiliza hadi mwisho
2026-08-30 07:22:57
0
Shamsi Maarifa :
nyie wekeni mkeka watu tuchange yena
2026-08-30 08:38:36
2
okusi kijungu :
Pesa ziko wapi Kwan zilikuwa zinawekwa wapi?
2026-08-30 03:56:19
0
To see more videos from user @chamulungu_tv, please go to the Tikwm
homepage.