@5star_newstz: Video fupi inayosambaa mitandaoni inamuonesha mwanaume anayesikika akisema kuwa ni Mtanzania, akiwa amefungw@ kamba aina ya tape usoni, md0moni na mikononi. Katika video hiyo, dereva huyo anaeleza kuwa watu waliomtek@ wameondoka na gari lake, huku yeye akisema hajui alip0 na kwamba ametupw@ kando ya barabara. Pia haijafahamika gari hilo lilipo. Taarifa hiyo imesambazwa na Umoja wa Haki za Madereva kupitia X, zamani Twitter. #Updates #5STARNEWSTZ