@esamkaawele2024: MAJIBU KWA ABU HASHIM NO 1

عصام الدين
عصام الدين
Open In TikTok:
Region: KE
Saturday 29 August 2026 23:31:19 GMT
2341
263
40
42

Music

Download

Comments

saadbinmuadh24
muadh :
mashallah shekh iswam wafundishe
2026-08-30 05:46:34
0
user2668547380020
user2668547380020 :
Mambo kwa ushahidi.Jazakallah kheir
2026-08-30 02:19:49
3
faraj_graphics
Faraj Graphics :
Mimi nilikuwa katika hiyo khutba ya abu Hashim حفظه الله .Skiza full clip umeikatiza. Alisema kuwa hii hadith imepokelewa na Jarir Ibn Abdillah . Wakaja watu katika kabila la Mudhar hawakuwa na mbele wala nyuma kisha uso wa Mtume ukabadlika akamwamrisha Bilal atoe Adhan na walipomaliza kuswali akatoa khutba akawasomea ayah يَا أَيُهَا الَذِينَآمَنُوا اتَقُوا اللَهَوَلْتَنظُرْنَفْسٌ مَا قَدَمَتْلِغَدٍ ۖ وَاتَقُوا اللَهَۚ إِنَاللَهَخَبِيرٌ بِمَا تَعْمَلُونَ» Ndio Swahaba mmoja akatoa gunia la tende ambalo Mtume akashindwa kulibeba na mkono ndio Mtume akafurahika na kusema hiyo hadith من سن في الإسلام سنة حسنة...... Sasa hapo walitoa Sadaqah na Sadaqah ni jambo linaruhusiwa katika Uislamu. Hawakuzusha lakini alianzisha khairat ya Sadaqah.
2026-08-30 05:23:03
1
zakariaomari968
zakariaomari968 :
Maa sha Allah...
2026-08-30 04:17:23
1
alfaqeer092
Alfaqeer :
Wallahi nimezinduka sana leo kwa hakika kumbe twariqa ndo njia sahihi dah
2026-08-30 04:00:19
1
badru.badra
Badru Badra :
Twayyib Sheikh Iswaam Ddin 🥰🥰🥰
2026-08-29 23:42:08
2
early.motorsspares
Early motors&spares :
قال إبن عمر رضي الله عنهما: كل بدعة ضلالة وإن يراه الناس حسنة tuchukue qawl ya swahabah au mwanachuoni? كل ni ya kuenea mpaka ije إستثناء kwa mfano Allaah سبحانه وتعالى asema:كل شيء هالك إلا وجهه ingekuja كل بدعة ضلالة إلا حسنة tungechukua izo tafsiri umeleta,wanachuoni pia wanateleza wanapewa udhru
2026-08-30 06:59:20
0
user9241013698173
user9241013698173 :
Taraweh ni bid'a lakini ni bid'a nzuri. Jee tuachane na tarawehe?
2026-08-30 07:16:14
0
athman421
uthman :
shukran sana Sheikh wetu Allah akuhifadhi tuzidi kunufaika... unatufungua macho mwenye akili huru ajionee.. upande mmoja matusi na kutia watu motoni na upande mambo kwa ushahidi wa vitabu na dalili za wanazuoni.
2026-08-30 03:48:54
1
user1803928341128
AlJadeed :
Masha Allah
2026-08-30 06:28:01
0
ibnmasoud23
muhammadmasoud69 :
جزاك اللهُ خيرا
2026-08-30 06:19:37
0
almisbahshariffkhalifa
Al Misbah Shariff Khalifa. :
الشيخ الأستاذ عصام الدين جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم ajuwae ajuwa na kinyume chake? 👍
2026-08-30 06:47:07
0
userkashakar
userkashakara :
tofautisha kuanzisha kitu na kuanzisha ibada
2026-08-30 09:00:06
0
abdul_luza
abdul_luza :
wao wanatoaa radd hao bila kutoa vitabu
2026-08-30 06:50:25
0
noor_deen01
noor_deen :
hazina yetu. Allah akuhifadhi
2026-08-30 07:50:11
0
user1803928341128
AlJadeed :
Mwenyezi Mungu akuhifadhi lswaam nini maana ya neno sannah au sunnah kwani hawaelewi.
2026-08-30 06:24:38
0
userkashakar
userkashakara :
kinacho katazwa ni kuanzisha ibada ambayo haikuwepo na siyo kitu kitu ni tofauti na ibada
2026-08-30 09:02:53
0
alfaqeer092
Alfaqeer :
Wataelewa tu
2026-08-30 03:59:25
0
thanian010
abdallah25455 :
Jazakallahu kheyr
2026-08-30 00:00:19
1
damusimai38
user4358689065476 :
Shekhe letu Twarika yetu Shekh Inswaam.Allah akupee umri mrefu wenye kheri na wewe tuko.na weee bega kwa bega 🥰🥰🥰Tuuko nyumaa yako hata vipofu wanaona jamani twarika twasomeshaa na twasomaa kwa dalili....
2026-08-30 04:08:32
0
saidseif477
anu :
ala kumbe kampata mwalimu wake kwa kuita watu waongo
2026-08-30 09:11:18
0
humaliziitiktok
Simba :
mashaallah sheikh letu Allah Akuhifadhi
2026-08-30 05:07:45
0
alhaqeer7
Alhaqeer Qaassim Mtunguja :
WAKIJA KURADD KAMA HAWATOI VITABU WANAROPOKA, USIJE UKAWAJIBU SHEKH
2026-08-30 05:41:38
0
salimamigo
Salim Amigo :
2026-08-30 04:35:26
0
amarein_111
amarein111 :
Masha Allah shukran
2026-08-30 04:42:03
0
To see more videos from user @esamkaawele2024, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About