1 Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;
Mithali 2:1
2 Hata ukatega sikio lako kusikia hekima, Ukauelekeza moyo wako upate kufahamu;
Mithali 2:2
3 Naam, ukiita busara, Na kupaza sauti yako upate ufahamu;
Mithali 2:3
4 Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;
Mithali 2:4
5 Ndipo utakapofahamu kumcha Bwana, Na kupata kumjua Mungu.
Mithali 2:5
6 Kwa kuwa Bwana huwapa watu hekima; Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu;
Mithali 2:6
I am blessed and fortified in Christ Jesus with everything I need for life and godliness! Eternal life is my present-hour reality! The victorious life is mine. I live above sickness, disease, poverty, failure, and death, in Jesus’ Name. Amen.
Na hili ndilo neno la Mungu..........
2026-08-30 05:28:21
1
To see more videos from user @eliudibayo, please go to the Tikwm
homepage.