@dw_kiswahili: Wako wapi? Hilo ndilo swali linaloendelea kuwasumbua familia za watu waliotoweka mazingira ya kutatanisha. Leo, dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Waathirika wa Kutoweshwa kwa Nguvu, kumbukumbu zinarejea kwa watu 83 ambao kwa mujibu wa TLS walidaiwa kutekwa au kupotea nchini Tanzania kati ya mwaka 2016 na 2024. #DWTunavuma #vumakwakishindo #humanrights #tanzaniatiktok
We really appreciate your work DW Kiswahili for fighting for voiceless
2026-08-30 07:40:58
0
mbinga Boy :
so pain
2026-08-30 04:56:24
1
Afwilile Lwinga :
kiukwel tanzania yetu Sasa hv hakuna hakuna haki kabisa
2026-08-30 05:17:57
44
Momy alan 💖 :
More than a pain🥺
2026-08-30 06:12:40
0
MUHIGI One💪🏻 :
DW Mungu aendelee kuwainua kwa viwango vya juu zaidi
2026-08-30 05:05:14
33
BEA SIMBA :
in god we trust 💯💪🙏
2026-08-30 07:00:39
0
janey :
vyombo vya ulinzi na usalama havitulindi tena.... nani muhusika wa haya matendo.... ndio maswali yetu w tz inauma sana
2026-08-30 04:24:48
25
EÑZO :
mnafanya kazi ya wito Dw
2026-08-30 04:50:56
11
Tizirukwa🇹🇿 :
kazi nzuri sana DW
2026-08-30 05:29:20
6
𝐃𝐞𝐞_𝐉 :
ipo Siku ukweli wote utaanikwa wazi dunia yote ijue kama ilivyokuwa Syria #MUNGUANAONA
2026-08-30 05:57:16
5
Ezekiel Mwakajila :
Pale angalau KATIBA itakapo rekebishwa
2026-08-30 05:19:51
2
Okomo Ze Man :
Mimi nawambiaga Mama Mkanye Mwanao unamuona, Mwanao anaanza harakati za kusumbuwa Mamlaka, una mwangalia tuu akishatoweka ndio mnaanza kulia
2026-08-30 05:57:16
2
Jacob Stephan Stephen :
natamani kukoment ila nitapotea lakini umejua nilichomaanisha
2026-08-30 05:57:33
1
Mama Abby :
ukisema beni saa nane najikuta nikilia jamani baba angu mdogo 😭😭😭😭😭 nakukumbuka baba bado upendo wako kwetu unaisha
2026-08-30 07:55:44
1
Mwachitu. :
Wanaofanya hivi wanadhani wataishi milele kwakua wana vyeo.. Binadamu bana
2026-08-30 06:19:18
1
Honesty🌹 :
Hivi Hawa Ccm wanajiona kutufanyia haya watanganyika ni sawa kweli 😭😭😭
2026-08-30 07:08:20
1
~ :
eeh mungu mbona unachelewa kujibu hayaa
2026-08-30 06:51:00
1
Goodness :
Suluhu ndio suluhu
2026-08-30 05:52:48
2
Gaspar.+255 :
nikuzidi kumuomba Mungu na kuamini kwa aya maumivi ni makubwa na ali nimbaya
2026-08-30 07:24:17
1
Ada B :
DW msiogope kuendelea kuwakumbusha watu haya kwani lenye mwanzo alikosi mwisho maana sisi tunaoamin na kumtegemea mungu tu atambua kuwa mungu amtupi mja wake
2026-08-30 06:10:17
3
user7110023581114 :
Kwa nn serikali na jeshi la police hawasemi ukweli kile kinacho tokea na wao ndo wanao Tajwa sana kuwa ni wahusika wa kutoweka kwa hawa watu au kupotea kwao.
2026-08-30 05:05:35
0
Genge empire🥾🥾🇰🇪 :
hatutaki nchi ifikie pabaya au kuzuriana wenyewe kwa wenyewe,, ufumbuzi wanao serikali iliopo madarakani kwa sasa, na jeshi la polce" amani ikitoweka ni serikali , binafsi tunaomba mamlaka ichukue hatua
2026-08-30 05:38:45
1
masco kisaka :
Hiii Mambo Hiskie kwa Jirani
2026-08-30 08:23:35
0
Lizy Queen :
Mungu amenyamaza sanaaaaaaaaa
2026-08-30 08:35:00
0
To see more videos from user @dw_kiswahili, please go to the Tikwm
homepage.